Saturday, November 24, 2012

Habari na picha

Aliyefunga Ndoa na Mama Yake Anena ' Mapenzi Anayonipa Mama Sijawahi Kupata, Msiingilie Mapenzi Yetu'
  

  
Mama aliyefunga ndoa na mwanae wa kumzaa wa kiume baada ya mumewe ambaye ndiye baba wa mtoto huyo kufariki amesema anawashangaa wanadamu kuingilia mapenzi yao huku mwanae akiwauliza watu mnatutakia nini kwenye mapenzi yetu? akiongeza kuwa mapenzi anayopata kwa mama yake hajawahi kuyapata. 




Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake
  

  
Picha ya mwanajeshi wa Marekani aliyetoka kwenye vita vya Afghanistan akikaribishwa Marekani kwa kunyonyana ndimi na mwanaume mwenzake huku akiwa amepakatwa imekuwa gumzo duniani. Gonga World News kwa habari zaidi.



No comments: