Monday, July 13, 2015

Dunia sasa Kushnei, Sasa Mabenchi yageuzwa Gesti h...

 Dunia sasa Kushnei, Sasa Mabenchi yageuzwa Gesti h...: Hakika  huu ndo mwisho wa dunia........Huu  ni  uchafu  ambao hufanyika  katika  Garden moja ijulikano kwa  jina  la  Murilo ....... ...

MAHUSIANO

 MAHUSIANO: 8 Certain Signs You’re With the Man You Should Marrys   4. You’ve survived a long-distance relationship This is great challenge ...

ANGALIA PICHA ZA KUSHANGAZA ZA NDOA YA JINSIA MOJA...

 ANGALIA PICHA ZA KUSHANGAZA ZA NDOA YA JINSIA MOJA...: Mashoga na Wasagaji wamefunga ndoa iliyoshuhudiwa na...

HIZI NDIZO STYLE 3 KALI ZA KUPAGAWISHANA WAKATI WA...

 HIZI NDIZO STYLE 3 KALI ZA KUPAGAWISHANA WAKATI WA...: Sio siri kwamba mapenzi yanahitaji ubunifu wa hali juu,moja ya ubunifu huo ni ktk style za kupeana maraha..nasi bila ...

HIZI NDIO PICHA NA LIST YA WASANII WA BONGO MOVIE ...

 HIZI NDIO PICHA NA LIST YA WASANII WA BONGO MOVIE ...: RECHO: Hapa ndipo atakapo anza siku yake ya kwanza leo kwenye makazi yake mapya mbinguni. Shimo dogo ni kaburi ya mtoto wake ali...

PICHA ZA UTUPU ZILIZOPIGWA NA MWANAFUNZI WA UDOM I...

PICHA ZA UTUPU ZILIZOPIGWA NA MWANAFUNZI WA UDOM I...: Msichana aliyefahamika kwa jina la Seche Mautamu, amebainika kujiuza kupita mtandao wa kijamii wa facebook kwa kuweka picha zake za u...

10 SEX PICHA ZA LULU....USIPITWE NA HII ASEEE..MTA...

10 SEX PICHA ZA LULU....USIPITWE NA HII ASEEE..MTA...

PICHA ZA UCHAFU WA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAKIWA ...

 PICHA ZA UCHAFU WA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAKIWA ...: MWANGALIE KWA MAKINI INAWEZA KUWA NDUGU YAKO, RAFIKI AU JAMAA YAKO, UKAJARIBU KUMFUNZA ADABU ...

MAJAMBAZI WAVAMIA KITUO CHA POLISI STAKISHARI UKON...

MAJAMBAZI WAVAMIA KITUO CHA POLISI STAKISHARI UKON...: WATU walio na silaha za moto wamekivamia kituo cha Polisi Staki Shari Ukonga na kuwaua watu 7 wakiwepo Polisi wanne. Taarifa kutoka ene...

Thursday, June 4, 2015

Kila mmoja hutamani harusi yake iwe ya kitofauti…lakini huyu alitamani yake iwe hivi!!(Pichaz)


aruc
Maharusi wengi hutamani siku ya harusi kuwa siku ya kitofauti zaidi katika maisha yao wakiamini ndio siku pekee ambayo ni ya furaha zaidi huku wengine wakitumia kila aina ya njia kuhakikisha sherehe yao inapendeza.
bride
Utakuta wengine wanatumia usafiri wa farasi au magari ya kifahari kuhakikisha tu sherehe inakuwa ya kipekee zaidi kwao lakini kwa Jenny Buckleff ilikua tofauti kwani yeye alitumia jeneza kama usafiri wake.
aruc2
Jenny alitaka kuwashangaza wageni waliofika kwenye sherehe yake hata kwa mumewe pia kwani hakumwambia mtu yoyote kuhusu uamuzi wake huo.
nne
Siku ya sherehe aliingia ukumbini akiwa ndani ya jeneza lililokuwa likisikumwa kwa pikipiki huku kila mmoja akishikwa na butwaa kutokana na kitendo hicho ambacho si rahisi kutokea.
akitoka

Thursday, May 7, 2015

ANGALIA MVUA ZINAVYOKWAMISHA SHUGHULI ZA WATU JIJINI DAR

 


Wananchi wakijaribu kuvuka barabara eneo la Sinza, Afrika sana leo asubuhi.
Mwanafunzi akionekana akipita katika barabara iliyojaa maji eneo la Afrika Sana.
Baadhi ya wananchi wakionekana kutafakari namna ya kupita eneo la Sinza Afrika Sana.
Kijana aliyeko upande wa kushoto ambaye hakufahamika jina lake haraka, akivusha wananchi kwa kiasi cha shilingi mia mbili (200) eneo la Afrika Sana.
Magari pamoja na Bajaji zikionekana kupita kwa tabu katika barabara iliyojaa maji.
Vijana wakiendelea kuvusha raia kwa kiasi cha shilingi mia mbili (200) eneo la Afrika Sana.MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimeleta mafuriko katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo na kusababisha adha kwa wakazi wake huku barabara zikiwa zinapitika kwa tabu na zingine kutopitika kabisa

MATUKIO NA VIJANA: ANGALIA MVUA ZINAVYOKWAMISHA SHUGHULI ZA WATU JIJ...

MATUKIO NA VIJANA: ANGALIA MVUA ZINAVYOKWAMISHA SHUGHULI ZA WATU JIJ...: Wananchi wakijaribu kuvuka barabara eneo la Sinza, Afrika sana leo asubuhi. Mwanafunzi akionekana akipita katika barabara iliyojaa ma...

Mathew 5:4_14

4 Heri wenye huzuni;Maana hao watafarijika. 5 Heri wenye upole;Maana hao watairithi nchi. 6 Heri wenye njaa na kiu ya haki;Maana hao watashibishwa. 7 Heri wenye rehema;Maana hao watapata rehema. 8 Heri wenye moyo safi;Maana hao watamwona Mungu. 9 Heri wapatanishi;Maana hao wataitwa wana wa Mungu. 10 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki;Maana ufalme wa mbinguni ni wao. 11 Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. 12 Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.Chumvi na Nuru 13 Ninyi ni chumvi ya dunia; lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kukanyagwa na watu. 14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya

MASTAA WA MAREKANI WAZUA GUMZO KWA MAVAZI YAO KWENYE SHEREHE,ANGALIA PICHA HAPA MTU WANGU


chek
uniiii
Jana mastaa mbalimbali Marekani walijumuika pamoja katika usiku wa 2015 MET Gala huku baadhi ya mastaa hao wakigeuka gumzo kutokana na muonekano wa mavazi yao ambao uliwavutia wengi.

Sherehe hizo za mavazi ambazo hufanyika kila mwaka, jana zilifanyika jijini Newyork na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali.
Beyonce, Kim Kardashian na Rihanna huenda ndio waliotia fora kwa mavazi yao.
bey
chek
Beyonce Knowles akiwa na mumewe Jay Z
bey5
Kim Kardashian akiwa na mumewe Kanye West
KIII
bey3
Kerry Washington

bey4
bey7
Rihanna
ririr
bey8
Jennifer Lopez
bey9
solange
Solange Knowles
legend
John Legend na mkewe Chrissy Taigen
keys
Alicia Keys
gomez
Selena Gomez

Wednesday, May 6, 2015

Tuesday, May 5, 2015

MAAJABU:ONA DADA HUYU AMEVUNJA REKODI YA KUWA NA NDEVU NA NYWELE NYINGI KULIKO WANAUME


Hairiest girl flaunteing her hairy bosoms in new photos below she is so cute See some more photos below What do you think of this? can you marry this cute girl??? 


Monday, April 27, 2015

JINSI NILIVYOTESWA NA UJIKO WA KUWAFIKISHA WANAWAKE KILELENI


Jamani, leo nimeona nielezee jinsi nilivyo geuzwa mtumwa na tamaa zangu mwenyewe.
Baada ya kupitia jeshi la kujenga BALEHE na kufuzu, nikaanza kujihusisha na wanawake.
Mwanzoni nilikuwa najua kuwa wanawake huwa hawasikii raha kabisa wakati wa majamboz na ndio maana huwa wanazingua sana hadi uweze kuwachapa nao.
Baassss, mimi nilikuwa nikikamata mizigo, najipigia zangu kamoja ka kichovu mno kisha nalala kama mdogo wa maiti.
Basi bhana kwenye kuhanja hanja kwangu nikaibua ka hausi geli ka jirani, kalikuwa kajanja sana, kwanza kabla sijaenda kukagonga nao, kakaanza kunipiga mikwara kibao, mi mwanaume wa bao moja simtaki, tena asiponifikisha kileleni anisahau kabisa.
Binti alikuwa ni mzuri, mwemba, mrefu, toto la Kiburushi, kwa jinsi nilivyokuwa na miusongo naye, akili yangu ikabadilika kabisa, namna ya kumfanya mwanamke afurahie majamboz.
Hapo nikapata jawabu kwa nini watu huwa wananyonya na kuzilamba Tukuyu bila kuona kinyaa wala kichefuchefu.

Baba Mwanaasha anasema akili za kuambiwa changanya na za kwako, kudadadeki mwana wane, na mimi nikajiongezea maarifa. Nikasema huyu binti lazima leo nimkomeshe, akienda kuwasimulia wenzake, awaambie kabisa kuwa Mbozi ya Bujibuji ina matawi, maana alichonitendea leo ni zaidi ya muujiza.

Mzee nikajisogeza zangu glosare ya jirani, hapo ilikuwa mida ya saa mbili asubuhi, nikaagiza supu na bapa la konyagi.
Nikagonga supu na konyagi huku niki buy time matajiri wa kimwana waende dukani kwani (walikuwa na duka mjini, wakienda asubuhi hawarudi hadi jioni)
Mida ya saa tatu, binti akaja home, akanikuta jicho limewakaaa, halafu mjomba Bujibuji kasimama kama mwavuli uliofungwa kwenye kijimfuko wake.
Alipoingia tu, nilimnyanyua juu, nimkamkandamiza kwa madenda moto moto, ulimi nikaugeuza dekio.
Unaambiwa ulimi ulichezeshwa midfielder ya kufa mtu, kuanzia unyayoni hadi utosini, huku ukizichambua nywele za kiarabu, moja baada ya nyingine.
Kudadadeki, nilimshughulisha yule mwanamke mpaka, akaanza kutoa mlio kama wa beberu huku akitetemeka.
Baada ya hapo sisimulii kilichotokea.
Kesho yake asubuhi, nikiwa naangalia BBC news binti akajileta mwenyewe, mzimamzima, huku akinisifia kuwa hajawahi kuona mautundu na maujuzi kama ya kwangu, mzee nikakandamiza tenda, tena kwa fujo za kufa mtu. 
Nikaomba kupelekwa topeni, nikakataliwa, baada ya kusaundisha sana, nikakubaliwa kwa masharti kwamba nipige 0713 kwa na niongee kwa sekunde chache, kwa kuwa alikuwa hajawahi.
Mzee nikatafuta mafuta ya mgando, nikasindilia, mzee, unaambiwa Bujibuji haina mabega, kikiingia kichwa ujue ndio mwili mzima hivyo, basi hiyo ikawa ni second chapter.

Basi, kwa maraha yote hayo mzee unaweza shangaa mbona heading na body hamna uhusiano, madhara niliyoyapata ni kwamba nikawa siwezi ku ku do bila kupiga konyagi za kufa mtu, nikawa mlevi kupindukia, nikawa mtumwa wa tigo na kwa kweli nikawa mdogo wa shetani. Sasa nimebadilika, namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa Mamndenyi ambaye amekuwa ni mvumilivu sana kwangu, na amekuwa akiniombea ni kiumbe bora zaidi.
Toa Maoni Yako

Wednesday, April 22, 2015

Utavutiwa na upi kati ya hii mijengo 10 ya mastaa wa soka DUNIANI (Pichaz)

Tom Brady and Gisele Bundchen put their new Brentwood mansion up for sale at a staggering $50 million! LAMbali na magari ya kifahari pamoja na starehe wanazozifanya mastaa hawa wa soka duniani, pia fedha zao nyingi wamewekeza katika majumba ya kifahari, na wengi wao wamekuwa na nyumba zaidi ya moja katika miji tofauti Barani Ulaya.
YES.. Navutiwa sana na nyumba nzuri yani, hizi nimezipata nikaona itakuwa poa nikishea na wewe mtu wangu..
Hapa kuna hizi nyumba 10 kali za mastaa 1o wa soka Ulaya:-
ronaldo
Moja ya nyumba ya mchezaji bora wa dunia, Cristiano Ronaldo. Iko Hispania
MESSIII
Nyumba ya Lionel Messi imejengwa kwa aina ya kipekee, kwa juu ina uwanja wa kuchezea, ni moja ya nyumba za kifahari zilizopo kwenye mji wa Barcelona.
ney
Nyumba ya striker wa Barcelona, Mbrazil Neymar ipo Hispania.
ibra
Hii ni nyumba ya Mshambuliaji wa PSG ya Ufaransa, Zlatan Ibrahimovic, ipo katika mji wa Malmo, Sweden.
roo
Nyumba ya staa wa Uingereza, Wayne Rooney ipo katika visiwa vya Barbados.
kaka
Nyumba ya Ricardo Kaka ipo Spain
etoo lon
Nyumba ya Samuel Eto’o.. Hii ipo London, Uingereza
gonza
Nyumba ya Raul Gonzalez, straiker wa PSG, ipo katika mji wa Madrid, Hispania
rona
Mjengo wa kifahari wa Ronaldinho.. Hii ipo Spain
lampa
Nyumba ya kifahari ya Frank Lampard, hii ipo London, Uingereza mtu wangu
Umeiona yoyote ya mkali wako wa soka hapo?? Kama ipo unaweza kuniandikia pia ipi imekuvutia zaidi kati ya hizo..
Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>>  Twitter Insta FB  na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa>>>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

Monday, April 20, 2015

MATUKIO NA VIJANA: Ndege ya kipekee inayotumia nguvu ya jua ilikwamia...

MATUKIO NA VIJANA: Ndege ya kipekee inayotumia nguvu ya jua ilikwamia...: Ni ndege ambayo ilianza safari yake March 9 2015 Abu Dhabi na ikafanikisha salama safari zake kwa kupaa angani na kupita Oman, India na M...

Simba ina waganga wengi wa kienyeji kuliko idadi ya wataalamu waliopo benchi la ufundi

IMG_9433
Simba waligoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo walipocheza na Mbeya City jumamosi iliyopita uwanja wa Sokoine
Na Shaffih Dauda
MTANDAO huu kwa muda mrefu sasa umekuwa ukifanya tafiti na kufuatilia mwenendo wa klabu ya Simba katika mechi za ligi kuu soka Tanzania bara msimu huu.
Mwishoni mwa juma lililopita, Simba ilifungwa magoli 2-0 na Mbeya City fc katika uwanja wa Sokoine, Mbeya na kuifanya klabu hiyo kongwe nchini kuendelea kukaa nafasi ya tatu kwa pointi 35 walizokusanya baada ya kushuka dimbani mara 22.
Machi 18 mwaka huu walifungwa magoli 2-0 na Mgambo JKT katika uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga, lakini wakashinda 2-1 ugenini dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa CCM Kambarage, Shinyanga na ilikuwa aprili 6 mwaka huu (jumatatu ya pasaka).
Katika mechi hizo tatu, mtandao huu ulikuwa unachunguza mwenendo wa Simba na namna wanavyoiandaa timu kwa ajili ya mechi.
Katika mechi ya Tanga waliyochapwa na Mgambo, timu iligoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, wachezaji wakakaguliwa ndani ya basi nje ya geti karibu na vyumba vya kubadilishia nguo.
Simba walifanya hivyo wakihofia kurogwa na wenyeji wao, lakini mwisho wa siku wakafa mbili bila na walipoenda Shinyanga kucheza na Kagera walifanya hivyo hivyo, walikataa kuingia vyumbani na kukubali kutozwa faini na TFF.
Simba waliendeleza tabia yao ya kutoingia vyumbani kwa madai ya kuogopa kurogwa huku wakisingizia vyumba ni vibovu. Inawezekana kweli ni vibovu, lakini dhahiri walikuwa na mawazo mengine kichwani mwao kwani viongozi walionekana kuwapangia wachezaji maeneo ya kupita wakati wanaingia uwanjani.
 
Baada ya safari ndefu ya uchunguzi, hatimaye jibu limepatikana kule Mbeya ambako Simba amekufa tena mbele ya Wagonga nyundo wa Mbeya, Mbeya City fc.
Tulipiga kambi jijini Mbeya na kugundua kuwa Simba wameharibikiwa kwasababu wanawatumia Waganga wa kienyeji kwa muda mwingi wakiamini watawasaidia kupata matokeo ndani ya uwanja.
Dunia ya leo klabu kongwe ya Simba, mfano wa kuigwa inaendekeza imani za kishirikina kwa kiwango cha juu namna hii, inasikitisha sana.
Chakusikitisha zaidi ni kwamba, tunaamini viongozi waliopo madarakani ni vijana wa kidijitali yaani wa kisasa au kileo. Imefika wakati tunaamini wazee kama vile Hassan Dalali na wengineo hizi si zama zao, lakini hayo ni maneno tu, inawezekana wale wazee wakawa na mafanikio makubwa kuliko  vijana ambao tunaamini wanaweza kuiendesha timu kileo au kisasa, vijana ambao ukiwaangalia ni watanashati,  lakini matendo wanayoifanyia klabu ni mabaya mno.
Kwa aina ya viongozi wa sasa wa Simba, ni jambo la aibu kutumia muda mwingi kuwekeza katika uchawi , kutumia waganga au ndumba wakiamini watasaidia kupata matokeo kuliko kujikita katika maandalizi ya kitaalamu na kiuweledi.
Simba wamefungwa na Mbeya City kwasababu hawakutoa nafasi ya kiuweledi katika maandalizi yao, waliwekeza nguvu kwa mambo ya nje ya uwanja wakiamini yatawasaidia kupata matokeo.
Utaratibu ulivyo, unapoenda uwanja wa ugenini, siku moja kabla ya mechi,  timu inatakiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja ambao watachezea mchezo, kwahiyo Simba walitakiwa kwenda kufanya mazoezi Sokoine siku ya ijumaa, lakini kutokana na kuamini mambo ya kishirikina hawakwenda kufanya mazoezi siku hiyo, matokeo yake ilibidi wafanye mazoezi kwenye bustani (Garden) ya Hoteli waliyofikia, wanafanyia mazoezi ‘Garden’ eti kwa sababu wanaogopa kurogwa na Mbeya City.
Hii ilikuwa kinyume, mwalimu na benchi la ufundi walitaka timu ikafanye mazoezi uwanjani, lakini baadhi ya viongozi walioandama na timu waliona timu ikienda kufanya mazoezi Sokoine wataenda kupoteza mchezo wa jumamosi.
Mwisho wa siku wakafanya mazoezi uani, wakafanya mazoezi ‘Garden’, na wakawa ‘wamefeli’ rasmi.
Ikaja siku ya mechi, badala ya kupita kwenye mlango wa kawaida wakapitia mlango wa nyuma, wachezaji wakashuka na kuingilia mlango wa nyuma,  wakashindwa kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, wakakaa pembeni kwenye kona kulia kwa jukwaa kuu la Sokoine, sehemu ambayo maaskari Polisi wanapenda kuweka magari yao.
Baadaye kidogo wakaenda karibu na sehemu ya vyumba vya kubadilishia nguo na kukaa nje upande wa kulia kwenye chumba chao , lakini wachezaji wakaamuriwa waondoke tena.
Muda huo wachezaji wa Mbeya City walikuwa wanapasha moto misuli ‘Warm-up) na walikuwa wameshafanya kwa muda mrefu, Simba wao walichelewa hata kupasha moto misuli kutokana na mambo yao ya kishirikina.
Wakati wanaingia kwenye ‘Warm-up’ badala ya kuingilia kwenye benchi ambalo watakaa upande wa kushoto kwasababu kulia walikuwa wamekaa Mbeya City kinyume na taratibu zinazowataka wenyeji kukaa benchi la kushoto na wageni kulia, Simba wakarudi kwenye kona waliyoingilia mara ya kwanza
Simba walifuata taratibu kwamba wenyeji wanakaa benchi la kushoto, wageni kulia, lakini kulia ni sehemu ambayo Mbeya City wanakaa kila siku na Simba walikataa kukaa kushoto wakiamini pameshapigwa misumari. Walipotaka kukaa kulia Mbeya City wakagoma na ndipo ikatokea vurumai kati ya watu wa Mbeya City na Simba, ikabidi Simba wawe wapole na kukubali kukaa kushoto.
Wakati huo wachezaji walikuwa wamekaa chini nyuma ya lile benchi la ufundi na ilibidi wakafanye ‘warm-up’, kwa itikadi hizo hizo za kishirikiana wakashindwa kuingia uwanjani kupitia eneo hilo, wakaambiwa watembee na kurudi goli la kusini wazunguke kwenye kibendera cha kona na waingie uwanjani na mstari ule wakafanye ‘warm-up’.
Ukiangalia kwa undani,  wachezaji hawataki mambo hayo, wanakasirika, wanaingia uwanjani hawana raha, lakini kwasababu wamelazimishwa na wapambe wanaojifanya wanajua  kila kitu, timu iingilie wapi, wakanyage wapi na kamwe hawataki kukiuka maigizo ya waganda wa kienyeji.
Siku ya mechi hakika wachezaji hawakuwa sawa kisaikolojia, waliingia kupasha misuli na kuanza mechi, wakati wanacheza Mbeya City waliwazidi Simba, walikuwa wamechangamka, walionesha kabisa wanahitaji matokeo, lakini Simba walikuwa wanacheza tu kama vile mtu anayetaka kutekeleza jukumu lake na kuondoka.
Jonas Mkude, Abdi Hassan Banda, Said Ndemla wakawa wanazunguka tu, wanageuka nyuma na mipira, hawaoneshi nia ya kwenda mbele, Elius Maguli, Ibrahim Hajibu wakaonekana vimeo kwasababu walikuwa hawapati huduma kutoka kwa viungo.
Mbeya City walicheza vizuri sana ukiachana na mambo ya kupiga misumari kwa wale wanaoamini hivyo, lakini kwasisi ambao hatuamini hivyo, tukiamini kuwa maandalizi ya mechi ni mazoezi, Mbeya City walicheza zaidi ya Simba, walitengeneza nafasi nyingi na kilichosababisha Simba washindwe kucheza ni imani za kishirikina.
Kuna baadhi ya wachezaji ambao sitaki kuwataja hawafurahishwi na vitendo vya kuendekeza vitendo vya kishirikina, walienda Tanga kuchuana na Mgambo, kuna mtu mmoja wa kamati ya utendaji (jina tunalo) anapenda sana mambo ya kishirikina, alienda na waganga karibia nane (8) Mkwakwani, wakapigwa 2-0 na Mgambo.
Pointi yetu ni kuwakanya Simba na timu nyingine za ligi kuu kuachana na mambo ya kuamini waganga . Hata tabia ya Mbeya City kulinda uwanja, kuchimbua uwanja na kufukia vitu ni ya kishamba, matokeo hayapatikani kwa njia ya Waganda. Mbona kuna mataifa yanasifika kwa uchawi lakini wanaboronga katika soka?
Hata hapa Tanzania maeneo yanayosifika kwa uchawi mfano Sumbawanga mbona hawana hata timu ya ligi kuu?
Inawezekana waganda wanatumika kwasababu ya mila na desturi za kizamani, lakini hayatakiwi kufanyika kwa kasi ya ajabu kama wanavyofanya Simba na timu nyingine.
Kama yanafanyika kwasababu za kitamaduni basi yafanyike kwa siri pasipokuwahusisha wachezaji, haiwezekani eti wamekuja waganga usiku Hotelini, wachezaji wanaamushwa usiku kusikiliza maelekezo ya Waganga.
Unawachosha wachezaji, hawapumuziki vizuri, matokeo yake wanapoteza malengo, inatakiwa mchezaji alale mapema, akae kitandani awaze mechi ya kesho, ajiandae na mechi kisaikolojia, lakini unapomuamsha usiku unamnyima muda wa kupumzika, pia unamnyima nafasi ya kuuwaza mchezo wa kesho na matokeo yake analala na msongo wa mawazo na hasira juu kutokana na kusumbuliwa usiku.
Matokeo yake wanaingia kwenye mechi bila kuwa sawa kisaikolojia na wanafungwa si kwasababu ya kukosa uwezo bali ni miundombinu ya viongozi kushindwa kuwaandaa wachezaji kiuweledi.
Waganga hawasaidii katika soka, maandalizi ya kitaalamu, kiuweledi ndiyo yanatoa nafasi ya kupata matokeo. Simba na timu nyingine zote badilikeni!
Nawatakiwa jumatatu njema, tukutane tena jumatano ya wiki hii!!

Thursday, April 9, 2015

QUAIL EGGS IS TREATMENT OF MANY DISEASES

British researchers say that eggs should be pronounced a super-food, as it has a very good impact on our health and even helps to fight obesity. According to nutritionists the egg as food is one of the richest in good in essential ingredients and we all should consume at least one a day. The Nutrition and Food Science magazine has published an article in which researchers emphasize the egg’s important role in general health protection as well as loosing and maintaining body weight.
Dr Carrie Ruxton, the leader of the study analyzed data from not less than 71 previous studies with her colleagues. The research aimed at the nutrient content of hen's eggs and their role in human diet. It turned out that while eggs are poor in calories, they’re rich in protein and full of essential nutrients important to health, such as vitamin D and B12, selenium and choline.
Eggs are rich in antioxidants
The investigations also confirmed that between other protein-containing foods the eggs contain the richest variety and mixture of amino acids that are indispensable for the healthy growth and development of children, adolescents and young adults.
In addition, the high levels of antioxidants in the egg help preventing the age-related macular degeneration (macular degeneration), which is the leading cause of blindness in developed countries.
The eggs are rich in vitamin D
The research shows that children, teenagers and the elderly, as well as consumers of a lot of meat and people who don’t drink milk would gain the most benefit from eating eggs. The study’s one of the key discovery was that eggs are a very important source of vitamin D, and their consumption can significantly increase your daily intake of this very important vitamin. An egg contains more than 20 percent of the recommended daily intake so if you eat two a day you're half covered.
The low vitamin D levels are linked to many diseases: including osteoporosis, cancer of the heart disease, the sclerosis multiplex, and certain immunal illnesses and even mental disorders.
(The above research information is related to hen's eggs and not quail eggs.)
If it’s an Egg, it’s got to be a Quail Egg
Quail eggs are proved to be a very valuable source of vitamins A, B1, B2, B6, B12 and vitamin D, iron, magnesium, zinc, copper, phosphorus and other essential micro-nutrients, minerals and amino acids, which is why they are recommended for regular consumption.
To eat quail eggs as part of a healthy diet it is recommended to cons ume them raw. A lot of the people don’t like the idea but to make the taste more pleasant you can mix it in orange or tomato juice. In order to strengthen the immune system and improve the blood quality a course of 60 eggs is recommended. Initially 3, then 5 eggs a day should be consumed. Obviously no one is suggesting that quail eggs are any kind of a wonder-medicine and will cure serious illnesses like cancer or similar, but their positive effect on human body has been proven.
Quail eggs are considered to be one of the best known natural treatment products. Chinese medical practitioners have been using quail eggs as a treatment for hundreds of years with brilliant results. As quail eggs are slowly becoming an easy to get product on the market more and more people are beginning to show interest in their use as an active natural medicine instead of the chemical products with so many side effects.
Experts in natural treatment methods claim that quail eggs have positive effects on people with stress problems, hypertension, digestive disturbance, gastric ulcer, liver problems, blood pressure and lipid control, migraine, asthma, anemia, various types of allergies, eczema, heart problems, bronchitises illnesses, depression, panic and anxiety illnesses. Quail eggs are also known to stimulate growth, increase sexual appetite, stimulate brain functions which improves intelligence quotient and generally rejuvenates the body.

In the table below you will find suggestion as to how to administrate quail eggs. The following recommendations are sorted by age:
Age Group
Total No of Quail Eggs
Total No of Days
1st Day
2nd Day
3rd Day
From the 4th Day on
Adult
240
49
3
3
4
5
Adult
120
25
3
3
4
5
16-18 yrs
120
25
3
3
4
5
11-15 yrs
120
31
3
3
3
4
8-10 yrs
90
30
3
3
3
3
4-7 yrs
60
20
3
3
3
3
1-3 yrs
60
30
2
2
2
2
3 months - 1 yr
30
30
1
1
1
1

Natural treatment practitioners recommend the following use of quail eggs as treatment or part of the treatment depending of the illness or condition:
For Children: The consumption of quail eggs is recommended for children whether cooked or raw for their physical and mental balance. Quail eggs help improving the IQ.
Growth stimulation and metabolism improvement 100eggs
Reactivate the nerves and central nervous system 120eggs
For the elderly: Quail eggs have brilliant regenerative effects on the body therefore are recommended for the elderly. It can calm down and/or cure many diseases attributed to old age, deficiency or excess nutrients in the body.
quail eggs help renewing the state of health and brings the body to equilibrium, combats the degenerative process and rejuvenates the body 240eggs
revives memory and protects nerve cells 120eggs
improves sexual potency 120eggs
reinforces organs weakened by physical work or stress 240eggs
fortifies the body 240eggs
Allergy treatment:
Asthma 240eggs
Skin rash 120eggs
Eczema conjunctivitis 120eggs
Allergic rhinitis 240eggs
Gastro intestinal tract disorder treatment:
Gastric ulcers 240eggs
Poor digestion 120eggs
Excess secretions of stomach acids 120eggs
Treatment of liver diseases:
Improves organ functions 240eggs
Treatment of Renal diseases:
Improves organ functions 240eggs
Treatment of heart diseases:
Improves the functioning of the heart in the case of coronary sclerosis 240eggs
Treatment of circulatory diseases:
anaemia 240eggs
arterial hypertension 240eggs
Treatment of metabolic diseases:
gouts 240eggs
obesity 240eggs
diabetes 240eggs
Treatment of nervous diseases:
neurasthenics 240eggs
nervous state 240eggs
Benefits of quail eggs during pregnancy and while breast feeding:
The consumption of quail eggs fortifies the woman’s body during pre and post natal periods as well as after surgery and radiotherapy. It also has beneficial effects on the foetus (physical and mental balance) and for the mother after delivery (physical rehabilitation and rejuvenation of cells). Quail eggs also improve the quality of breast milk. 240eggs
HIV, AIDS:
The consumption of quail eggs by HIV AIDS patients improves CD4 240eggs
Please Note: All information above have been sourced from various scientific and nutritionist publications and we take no responsibility for the truthfulness and/or the accuracy of any of the above.


Quail Farm

  • Chinese Painted Quail - Coturnix Chinensis

    Chinese Painted Quail The Chinese Painted Quail is the most commonly used but actually the correct name of this lovely bird is Asian Blue Quail.
  • Jungle Bush Quail – Perdicula Asiatica

    Jungle Bush Quail The Jungle Bush Quail is the quail of the Indian Subcontinent.
  • Manipur Bush Quail - Perdicula manipurensis

    The Manipur Bush Quail or by its native name Lanx-Soibol, Manipuri, is another quail species from the Indian Subcontinent. Can be found mainly along the river Brahmaputra, in Assam, Manipur, Meghalaya, Nagaland and West Bengal.
  • Painted Bush Quail - Perdicula Erythrorhyncha

    Painted Bush Quail The Painted Bush Quail can be seen pretty much all around the Indian subcontinent however, they mostly found between 1800 and 6000 feet (600 – 2000 meters) above sea level.
  • Rain Quail – Coturnix Coromandelica

    Rain Quail To see a Rain Quail, also called Black-breasted Quail in the wild you would have to walk around in India, mainly in the Indus valley or the western parts of the Indo-Chinese peninsula.
  • Rock Bush Quail - Perdicula Argoondah

    Male of Rock Bush Quail The Rock Bush Quail is found throughout the peninsular India. In it’s homeland they're pretty much the only quail species that are kept in cages as a pets/display birds.
  •  
  • FOR THE OF NEEDS EGGS CONTACT  MR  MGUMILA UKONGA MAZIZINI- DSM
  • PHONE NO  0754 564200