Thursday, January 8, 2015

MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIA, NI SAWA NA VIWANJA VINNE VYA SOKA



Siku chache zilizopita, meli kubwa kuliko zote duniani iliwasili nchini Uingereza na kuwa kivutio kikubwa.

Meli hiyo ya mizigo ina uwezo wa kubeba makontena 19,100 na ukubwa wake ni sawa na viwanja vinne vya kuchezea mpira.

Meli hiyo imesajiliwa Hong Kong na ilitentengenezwa nchini China, ina uwezo wa kubeba tani 57,000 ambao ni uzito mkubwa zaidi unaoweza kuchukuliwa na chombo cha usafiri duniani.


Ilisafiri kwa mwezi mzima kutoka Shanghai China hadi nchini Uingereza.

dj sek: HAWA NDIO WABONGO WENYE PESA KULIKO WANAZO ZIHITAJ...

dj sek: HAWA NDIO WABONGO WENYE PESA KULIKO WANAZO ZIHITAJ...

Wednesday, January 7, 2015

MACHO HUONYESHA HISIA KATIKA MAPENZI


unaweza kuwa na hasira,,mawazo,,ama furaha na macho yako yakaonyesha ishara bila kificho lakini pia katika suala zima la mapenzi hisia huonekana machoni





yapende macho yako wakati wote na pia tumia macho yako kufahamu hisia za mapenzi ya mwenza wako

MWANAUME, WAOGOPE WANAWAKE WA NAMNA HII




WAPO wanawake ambao hawastahili kutongozwa au hawafai mwanaume kua na urafii nao hasa ule wa kimapenzi.

Uwezo wa kuwatambua wanawake wa namna hiyo, ndiyo utakutofautisha mwanaume kamili na wanaume washamba wanaoparamia mapenzi.

Wanawake ambao hawafai wana sifa hizi.
1. Watafutaji
Wapo wanawake ambao wanasema kabisa kuwa hawahitaji wanaume lakini ukweli moyoni mwake anataka kuwa na mwanaume. Ukimpata mwanamke wa namna hii kwa kumazimisha utakipata cha moto maana yeye mapenzi kwake amekuwa kama toashi.

2.Bikira.
Mwanamke mwenye bikra kwa wanaume wanaotaka ngono kabla ya ndoa siyo rahisi kumpata na hata ukimpata hautafurahia mambo fulani wasababu hajui mambo mengi ya kumsisimua mwanaume.

3.Asiyeridhika.
Kuna wanawake hata ukienda raundi za kutosha huwa hawafiki kileleni hivyo kwa wanaume wa mwendo mmoja tarajia nyimbo na lawama ama masimango hata ungemfanyia jambo lolote zuri.

4.Mchoyo.
Kufika kwake kileleni ni muhimu kuliko kufika wewe. Hii hutokea zaidi kwa wanawake warembo na wazuri na wanafanya hivyo na kukataa kuendelea na mchezo ambapo wanaume wengi kwa kubabaika kuachwa na wazuri wao hao wanawatii kwa kinyongo.

Akitaka yeye hata kama umechoka siku hiyo lazima anakulazimisha lakini yeye hata kama wewe umetingwa atakuambia hataki na amechoka, pia huuliza maswali na kujijibu mwenyewe...mfano''kwani wewe bado.....mimi tayari''

5.Jamvi la wageni na mchunaji
.......................................................................................

DALILI ZA MWANAMKE MJAMZITO







GORDON KALULUNGA


Dalili 13 za mwanamke mjamzito


TANGU niwe mmoja wa waandishi wa habari 5 waliobahatika kufauru usaili kati ya waandishi 72 Tanzania na kujifunza na kubobea kuandika habari za afya ya uzazi nchini Tanzania tangu mwaka 2012 nimejionea, nimesikia, nimegusa, nimenusa wakati mwingine kuyaishi maisha na wanawake wajawazito na hata ambao bado hawajawa wajawazito… 


Nieleze wazi kuwa mafunzo hayo niliyapata kupitia program ya Fellowship inayoratibiwa na mfuko wa vyombo vya habari Tanzania maarufu kama Tanzania Media Fund (TMF) na kufundishwa na madaktari bingwa wa masuala ya afya ya uzazi. 


Moja ya mambo ambayo nilijifunza kutoka kwa wataalamu hasa madaktari nikiwa field, kusoma mitandao na baadhi ya wanawake waliosema wazi wazi kuhusu dalili za ujauzito na kati ya nyingi nilizoelezwa kati yake 13 nimeona nikushirikishe katika makala hii ya uchambuzi.


Mwanamke anapopata ujauzito kwa kawaida huwa anaanza kuona dalili ambazo si za kawaida. Na ni wakati huo ambao ni muafaka kwake kuanza kuuchunguza mwili wake. 


Inaonesha kuwa homoni zinazosambaa mwilini mara tu unapopata ujauzito husababisha mabadiliko kadhaa katika mwili wake ambayo yanaweza kugundulika kabla hata ya uchunguzi halisi wa kujua kama mjauzito au la. 


1. Maumivu kwenye matiti.
Hii ni dalili ya kawaida ya ujauzito ambapo nguvu za homoni mwilini huongezeka wakati yai linavyopata “rutuba”, jambo ambalo huongeza wingi wa damu na kuyafanya matiti ya mwanamke kuvimba na kuwa makubwa isivyo kawaida. 


2. Maumivu mwilini
Baadhi ya wznawake wanajisikia maumivu kama vile wanataka kuingia katika siku zao. Kwa kawaida hali hii hutokea wakati yai likiwa linasafiri kwenda katika chumba cha mimba. Hivyo, hali hiyo husababisha sehemu hiyo itanuke taratibu na kusababisha maumivu hayo. 


3. Kutokwa damu bila kutegemea
Wanawake wengi hufikiria kutokwa na damu kidogo ni dalili ya kuwa katika siku zao. Lakini, katika hali halisi, kutokwa damu kusikotegemewa, huwakumba asilimia 25 ya wanawake wakati wa kurutubika kwa yai na iwapo utaona hedhi inakuwa fupi au inafanyika katika hali ambayo si ya kawaida, mwanamke anashauriwa kwenda kufanya kipimo cha ujauzito au kujipima mwenyewe na kifaa cha kupimia ujauzito.. 


4. Kuchoka
Mwanamke anapojisikia kuchoka na kukosa raha, au kutaka hata kulala wakati akiwa kazini, wakati huo mwili wake unakuwa unajirekebisha kuingia katika kipindi kipya cha mabadiliko. 

Inaelezwa kuwa katika kipindi cha mwanzo cha ujauzito ni muda ambao mtoto tumboni huanza kutumia sehemu ya nguvu za mwanamke na hivyo kumletea uchovu na usingizi. 


5. Chuchu kuwa nyeusi
Chuchu huanza kubadilika rangi yake kutokana na chembechembe za uhai (seli) kuanza kufanya kazi kwa nguvu zaidi hata hivyo wanawake wenye ngozi nyeusi hawawezi kuiona dalili hii mapema hadi muda wa kama wiki kumi zipite. 


6. Kichefuchefu
Hali hii huwapata asilimia 85 ya wanawake wanapopatwa na ujauzito, ambapo nyakati za asubuhi ndipo hasa hujionyesha. 


7. Mwili kuvimba
Kuna wakati kupungua kwa nguvu za uyeyushaji chakula kunaweza kumsababishia mwanamke kuona tumbo limevimba na nguo zikawa zinambana kutokana na chakula kujaa katika utumbo. Lakini hali hiyo ikiendelea na ukaona siku zako haziji, basi ni vyema ukatambua kwamba tayari una ujauzito na kinachokupasa ni kwenda kuhakikisha. 


8. Kwenda haja ndogo mara kwa mara
Mwanamke kwenda haja ndogo kila mara ni dalili kwamba kibofu kimeanza kufanya kazi ya ziada, ambapo huwa kinafanya kazi ya kuondoa maji kwa uthabiti zaidi wakati wa ujauzito. 

Hali hii pia hujitokeza mwishoni mwa ujauzito, ambapo kibofu kitakapokuwa kinarudia hali yake ya kawaida baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu. 


9. Tamaa ya vitu mbalimbali
Kutokana na mwili kuwa na “mzigo” wa ujauzito na hivyo kuchoka, hali hiyo humfanya mwanamke kutamani vitu mbalimbali ili kukidhi mabadiliko yaliyojitokeza katika mwili wake. Hii ni pamoja na kutaka vyakula fulani au kufanya mambo ambayo hapo nyuma alikuwa hayapendi. 


10. Kuumwa kichwa
Kuongezeka kwa damu kunaweza kusababisha kichwa kuuma japokuwa si sana, hususani katika wiki za mwanzo za ujauzito. Hata hivyo, hali hii hukoma mwili unapojirekebisha na mzunguko wa homoni unaotokana na ujauzito. 


11. Kufunga choo.
Homoni ambazo husababisha mwili kuvimba pia husababisha kufunga choo kutokana na mfumo wa kuyeyusha chakula kutofanya kazi vyema. Hata hivyo hali hii inaweza kujitokeza zaidi wakati ujauzito unapoendelea kukua. 


12. Kuwa na hasira
‘’Kutokana na kuongezeka kwa homoni za utendaji kazi mwilini, hali hiyo itakusababishia uchovu, na kukufanya kuwa na hasira,”anasema Melissa Goist, Profesa na Mtalaama wa Masuala ya Uzazi wa Chuo Kikuu cha Ohio, Marekani. 


13. Kuongezeka kwa joto mwilini Kipimo cha joto la mdomo ni muhimu katika kutambua hali ya ujauzito. Kwa kawaida joto huongezeka kwa nyuzi moja au zaidi wakati yai likiwa linatunga mimba. Hali hiyo ikiendelea kwa zaidi ya wiki mbili, itakuwa inaonyesha dhahiri kwamba kuna “mtoto anakuja”.
0754 440749

UFAHAMU;KONDOMU NA UKIMWI



 KONDOMU ni kifaa/ zana iliyotengenezwa mahususi kuvalisha uume au kuwekwa ukeni wakati wa kujamiiana.Nazo hubana kutokana na umbile la uume au uke.

Kondomu hizi zipo za aina tofauti kutokana na muda na vipindi zilipotengenezwa, nazo ni kama ifuatavyo:-
Awamu ya I – zilizotengenezwa kwa mimea.

Hizi zilitengenezwa mahususi kama kinga dhidi ya maambukizo ya vimelea vya ugonjwa wa kaswende [ugonjwa wa kifaransa]
Awamu ya II – kutokana na utumbo wa kondoo.

Dr. Condom alifahamika kama mgunduzi wa kondomu hizi, naye alikuwa ni dakatari wa Mfalme Charles II.

 Alimshauri Mfalme kutumia kama kinga kutokana na magonjwa ya zinaa kutokana na tabia yake ya kuwa na wanawake wengi nje ya ndoa yake.

Awamu ya III – kutokana na mpira

Hizi zilitengenezwa kwa urahisi na kwa wingi na zikawa ndizo pekee zenye uwezo wa kudhibiti mimba hadi miaka ya 1960 vilipogunduliwa na vidonge vya majira.

JE KONDOMU NI SALAMA?
Tunaelezwa kuwa kondomu hutengenezwa kwa ustadi mkubwa kiasi kwamba haziwezi kuruhusu kitu chochote kupita.

Lakini tafiti mbalimbali zilizofanyika zinaonyesha kuwa kondomu zaweza kuvuja kutokana na mazingira halisi ya utengenezaji wa latex.

Wengine wanadai kuwa ili kuzifanya imara, kondomu zimetengenezwa kwa kupishanisha pande mbili ili kuziba udhaifu wa kila upande.

Hata hivyo watengenezaji wanasahau kuwa mazingira ya matumizi ya kondomu katika ngono hayalingani na majaribio waliyofanya ya kujaza maji au hewa ili kupima kama maji na hewa vinapita.

Katika tendo la ngono ipo misuguano ya namna mbalimbali inayosababisha kubadilisha mazingira ya kondomu na kuidhoofisha.

Kutokana na tafiti hizo imefahamika kuwa kondomu hazina uwezo wa kuzuia mbegu za kiume kupenya wakati wote.

Upana wa kipenyo cha mbegu ni makroni 5 wakati upana wa kipenyo cha kirusi cha ukimwi ni makroni 0.1

Kwa maneno mengine mbegu ya kiume ni kubwa mara 50 ya kirusi cha ukimwi.

Vile vile tafiti zimeonyesha kuwa kondomu haina uwezo wa kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa vikiwemo virusi vya ukimwi kwa kiwango cha asilimia mia moja.

 Hivyo tunaweza kusema kuwa, kondomu si salama kwa asilimia mia moja.
Kondomu zina kiwango cha kushindwa cha kati ya asilimia 10 na 15 na wengine wanasema hata asilimia 20.

Wasambazaji na wahamasishaji wa matumizi ya kondomu hawapendi kusikia ukweli huo na wanafanya jitihada kubwa ya kuficha ukweli huo.

Matangazo yatolewayo kupitia mabango ya barabarani, katika televisheni, radio na hata magazeti yanawarubuni watu yakiwaaminisha kuwa kondomu humkinga mtumiaji kwa kiwango cha asilimia 100%

Huko ni kukengeusha ukweli na kukiuka maadili ya kitaaluma.
Wengi kama sio wote wateteao matumizi ya kondomu hufanya hivyo kwa sababu ya maslahi ya kifedha na kibiashara.

Tukiongozwa na dhamiri safi, lazima tukiri ukweli uliopo na tuwaeleze watumiaji, ili tusijekuwa sababu ya kifo chao.

Kila kondomu inaposhindwa [itumikapo] kama kinga dhidi ya maambukizo ya virusi vya ukimwi ] humaanisha kifo.
    


Udhaifu wa kondomu Kiufundi,Matumizi, Kimazingira
    Udhaifu wa kiufundi
Wasambazaji wanatueleza kuwa kondomu zilizotoka kiwandani zikiwa na ubora unaotakiwa zikitumika wakati wote na kwa usahihi zina uwezo wa kukinga kwa kiwango hadi cha asilimia 97.

Zisipotumika vizuri zina kiwango cha kushindwa cha asilimia 14.

Kiwango cha kushindwa kwa kondomu kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa hutofautiana kutokana na aina ya magonjwa ya zinaa.

Kondomu zaweza kuzuia kwa kiwango fulani maambukizo ya magonjwa ya zinaa yanayosafiri kwa njia ya ute, lakini haziwezi kuzuia magonjwa ya zinaa yanayoambukizwa kwa mgusano wa mwili kama vile "herpes" na "human papillomavirus"; au magonjwa yanayoambukizwa kutokana na vidonda au malengelenge yaliyoko kwenye via vya uzazi kama vile kaswende.
Hali hiyo inatokana na:

Watengenezaji wameruhusu udhaifu wa kiufundi kama zao la kiwandani lililotengenezwa na kazi ya mikono ya binadamu [acceptable quality limit] kwa kiwango Fulani kwa nchi mbalimbali. 

Mfano, Marekani kiwango kilichokubaliwa ni asilimia 99.6 kwa kutoruhusu kondomu kuvuja. 


Uingereza asilimia 97, Uholanzi asilimia 96. 5. Hivyo katika kila idadi ya kondomu itumikayo kwa wakati mmoja kuna kiwango cha kuvuja kati ya asilimia 0.4 (USA); 3% (Britania); 3.5% (Holland).

    Kondomu huzeeka
Kwa kadiri zisivyotumika kwa muda mrefu ndivyo hivyo zinaaendelea kuzeeka. 

Kwa hiyo mtumiaji kondomu wa miaka 3 au 4 baada ya kondomu hiyo kutengenezwa yumo katika hatari zaidi kuliko anayetumia kondomu mara tu baada ya kutoka kiwandani.

Utafiti mmoja umeonyesha kuwa kiwango cha kupasuka kwa kondomu kiliongezeka kutoka 3.6% kwa kondomu mpya hadi 18.6% kwa kondomu zilizotumika miaka kadhaa baadaye.

    Kondomu hupasuka.
Kiwango cha kupasuka hutegemea aina ya kilainisho kilichotumika na aina ya kondomu. Kwa mujibu wa tafiti 15 zilizofanywa na "Contraceptive Technology" yalionyesha kuwa katika kondomu 25,184 zilizotumika 4.64% zilipasuka.

Ingawaje kondomu za latex zinaonekana kuwa na kiwango kidogo sana cha kupitisha virusi vya ukimwi, hatari kubwa ya matumizi yake imo katika uwezekano wa kondomu kupasuka, kuteleza na kuteleza.

Kwa hiyo hata kama ni virusi vichache tu vinaweza kupenya, kiwango cha maambukizo kitakuwa kikubwa kadiri kondomu zinavyosambazwa kwa wingi na kadiri watu wanavyojihusisha na vitendo vya ngono wakiamini katika matumizi ya kondomu.

Udhaifu katika matumizi

    Matumizi mabaya: yaani kutovaa vizuri, kuvaa nje ndani, aina ya ngono, urefu wa muda wa ngono, pia kutokana na uelewa mdogo hasa kwa wasojua kusoma na kuandika na wale wakaao mbali na mijini.

    Kuteleza na kuvulika kutokana na hali ya uume kuwa mdindifu au la; upana au wembamba; mrefu au mfupi. 

Pia kutokana na tendo la ngono na hali ya mtumiaji na mazingira ya matumizi. 


Kutokana na umri wa mtumiaji, kama ni mtoto, kijana, mtu mzima au mzee.
Kutumia kondomu ambazo muda wake umepita. Mfano wanaotumia gizani , katika hali ya ulevi, kutokujua kusoma, kuchunguza na kugundua kama muda wake umepita.
     
Mazingira ya kingono yakishawekwa, watu wanatawaliwa na mihemuko ya juu ya ngono kiasi kwamba hawawezi kuchunguza tarehe ya ukomo wa matumizi ya kondomu.

Ingawa watengenezaji wanashauri kutotumia kondomu iliyobadilika rangi au iliyokauka, tabia za watumiaji hazina nafasi ya kuzingatia ushauri huo.
    
Lengo la mtumiaji laweza kusababisha matumizi kuwa mabaya. Mtu mwenye virusi vya ukimwi, anajiwekea lengo kwamba hataki kufa peke yake, atafanya jitihada za kutokutumia vizuri ili mwenzake [ambaye anaamini hajaambukizwa] aweze kuambukizwa ili, "nisife peke yangu".

Vilevile katika siku hizi za dawa za kupunguza makali ya kuzaliana virusi vya ukimwi, mtu anaweza kuonekana mwenye afya nzuri kabisa, na anaweza kumshawishi mwenzake kuachana na kondomu kwa vile "wanaaminiana".

Kwa hiyo mambukizi yanaweza kuwa makubwa kutokana na kutowadhibiti wale waliokwisha ambukizwa.

  udhaifu wa kimazingira
Huu unatokana na hali zifuatazo:-  kibinadamu, kimaumbile na Kibinadamu.

Udhaifu wa kondomu waweza kusababishwa na usafirishwaji, yaani muda unaotumika kusafiri kutoka sehemu zinapotengenezwa hadi mahali zinapotumika;

ii. Kimaumbile
Vyombo vya usafirishaji  na usalama wa vyombo hivyo;

Kondomu zinazosafirishwa katika meli, zikiwa baharini kwa miezi kadhaa kabla hazijafika katika nchi lengwa na katika hali ya joto ndani ya makontena zinakuwa na kiwango hafifu katika ubora wake.

Udhaifu wa sehemu ya kuhifadhi kondomu pamoja na vyombo vya kuhifadhia.
source. Human Life International.
Gordon Kalulunga

Information and Media Consultant

P.O. Box 705, Mbeya-Tanzania

Tel: 255 (0)754 440749
e-mail: kalulunga2006@gmail.com
www.kalulunga.blogspot.com

Soda inayowezakumfanya mwanaume kuwa tasa


Kinywaji cha coca cola kimeendelea kuwa maarufu duniani lakini utafiti mpya umeonyesha kuwepo uhusiano wa kunywa sana kinywaji hicho na matatizo ya uzazi kwa wanaume.
 
Kwa mjimu wa utafiti huo uliochapichwa kwenye Jarida la Epidemiology la Marekani, wanaume wanaokunywa zaidi ya lita moja ya coca cola kwa siku wanakabiliwa na hatari ya kuwa tasa. Wanaume waliotumia kinywaji hicho walikuwa na upungufu wa aslimia 30 ya mbegu za uzazi zilizohesabiwa, ikilinganishwa na wale ambao hawakutumia. 
 
Wanaume hao walionekana kuwa na matatizo ya uzazi zaidi kuliko wasiokunywa coca cola.

SEHEMU GANI MWANAMKE AKIGUSWA HUSISIMUKA NA KUTAMANI KUTOMBWA ZAIDI NA ZAIDI?



MADEMU WENGI JAPO SIO WOTE HUPANDWA NA WAZIMU WAKICHEZEWA DODO ZAO HAPO KIFUANI UZURI.

DODO ZA MWANAMKE MARA NYINGI HUSISIMKA ILE MBAYA IKIWA ZITATOMASWA VIZURI NA KWA UPENDO KWA KUTUMIA MIKONO,LIPS ZA MDOMO NA ULIMI KUPEKECHA KUPEKECHA NCHA ZA CHUCHU NA KUZIMUNG'UNYA KWA MFANO WA MTU ANAYEMUNG'UNYA PIPI HIVI NA WAZIMU UKIANZA KUPANDA NCHA ZA CHUCHU ZINA TABIA YA KUDINDA NA KUWA NGUMU NA KUFANYA MATITI YAWE KAMA YAMESIMAMA KAMA YA MTOTO MWENYE BIKIRA YAKE,HALI HIYO YA MATITI KUSIMAMA NA KUCHOMOZA HUJITOKEZ KWENYE K 

AMBAPO MASHAVU YA K HUPANUKA NA KUTENGENEZA MSISIMKO WA AJABU HUKU KISIMI KIKISIMAMA NA KUMWAGA UTE FLANI LAINI AMBAO KAZI YAKE NI KUITELEZESHA MBOO WAKATI INATUMBUKIA KWENYE IKO KISHIMO CHA K.

JINSI JAMAA ANAVYOKUTOMASA MPAKA UNATOA HUO UTE NILIOUSEMEMA UKITOKWA NA HUO UTE MWANAMKE UNAKUA KATIKA HALI MBAYA SANA,UNAKUA KATIKATI YA KIFO NA UHAI KIASI KWAMBA UKITIWA KIDOLE TU THEN KIKATELEZESHWA NA HUO UTE UTASIKIA RAHA SANA MPAKA MATE YAKUJAE MDOMONI JAPO KUKOJOA INAKUA BADO

SASA MTU WA AINA YAKO ILI UKOJOZWE,KWANZA LAZIMA UR MAN AJUE AJUE G SPOT YAKO ILIPO THEN ACHEZE NAYO HIYO KWA KUIMASSAGE KWA VIDOLE VYAKE VIWILI AT THE SAME TIME AWE ANACHEZA NA KISIMI CHAKO KWA KUKITEKENYA AWE KAMA ANAICHORA NAMBA 8 KWA ULIMI KUKIZUNGUKA KISIMI KWA KUICHORA NAMBA NANE MARA KADHAA.



G SPOT IPO KAMA SENTIMITA 5 HIVI NDANI YA KUMA UKIINGIZA KIDOLE UTAIGUSA,IPO SEHEMU YA JUU YA K,HATA SIJUI KWANINI WANAUME WENGINE HAWAJUI ILIPO,OK ANYWAYZ MLETA MADA USIONE HAYA SEMA NAE JAMAA YAKE MUELEKEZE G SPOT ILIPO MWAMBIE AITEKENYE HIVI,MWAMBIE AKUINGIZE TARATIBU NA KWA UPENDO,VIDOLE VYALE VIWILI NDANI YA K,THEN AWE KAMA ANAIBONYEZA NA KUISUGUA SEHEMU YA NDANI YA K HIYO NILIYOSEMA IKO KAMA SENTIMITA 5 NDANI YA K,SEHEMU AMABAYO UKIIGUSA UTAFEEL KAMA SPONJI HIVI,JAMAA VILE VIDOLE HUKO NDANI ANAKUA ANAVITUMIA KUIBONYEZA KWA STYLE YA KUITEKENYA G SPOT ANAKUA ANAFANYA KAMA VILE MTU ANAEMFANYIA MTU MUNGINE ISHARA YA KUMWITA NJOO HAPA KWA MKONO KITENDO KITAKACHOKUA KIKIKUTEKENYA MPAKA UNAJISIKIA KAMA MKOJO KAMA MKOJO UNATAKA KUKUTOKA LAKINI HAUTOKI BASI MBWEMBWE TU ZA KUKUPA WEWE RAHA UIONE DUNIA YOTE HII NI YA KWAKO WEWE NA HUYO ANAEKUFANYA BAADA YA HAPO SASA INGEKUA JAMAA YAKO NI MGANDA,MTU WA BUKOBA AMA MNYARWANDA WANAO UTARATIBU WAO KATIKA MAINGILIANO YA KIMWILI BAINA YA WAWILI WANAOPENDANA,AMBAPO HUUCHUKUA UUME ULIOSIMAMA VIZURI NA KUANZA KUKIPIGA PIGA KISIMI NA KUKISUGUA KWA KICHWA CHA MBOO HALI HIYO AKIIFANYA VIZURI ITAKUFANYA SIO TU KUKOJOA KAWAIDA BALI UMWAGE MAJI MENGI SANA(SQUIRTING)AU KAMA HII YA KUKIPIGA PIGA KISIMI NA KUKISUGUA KWA KICHWA CHA MBOO ITAKUA NGUMU BASI JAMAA UNAWEZA KUMWAMBIA AWE ANAKICHOVYA KICHWA CHA MBOO KWENYE KUTA ZA K HUKU AKIKITUMBIKIZA MPAKA USAWA WA KICHWA TU NA KUKICHOMOA HAPO AKIFANYA MARA MBILI TATU TU KAMCHEZO AKO ATAKOJOA KWA FUJO SANA NA KUKAMUA MPAKA TONE LA MWISHO.


MUHIMU TU UZINGATIE UNYWAJI WA MAJI UKIKUTANA NA WA HIVI MPAKA UNAWEZA KUPATA UPUNGUFU WA MAJI MWILINI THE WAY UTAKAVYOKUWA UNAMWAGA MAJI MENGI KILA MNAPOKUTANA.

Tabia Nne za Mpenzi asiyekuwa na penzi la kweli


WIKI iliyopita tuliona baadhi ya dalili ambazo zinaweza kukupa mwelekeo wa kujua kama mpenzi huyo ameumbwa kwa ajili yako, ama la, lakini wiki hii tunaangazia na kuzijua walau dalili Nne za Mpenzi ambaye hana mapenzi ya dhati nawe.
Ifahamike kuwa hakuna asiyehitaji mapenzi ya kweli ingawa kuna wapenzi wanaothamini penzi wmenzi wake anapokuwa na pesa au kazi Fulani na baada ya hapo hujitoa katika mahusiano hayo hali ambayo huleta kwikwi katika mtima wa moyo wa anayefahamu kupenda.
1.      Muongo
Hakuna asiyefahamu athari za mtu muongo katika jamii, vivyo hivyo ndivyo ilivyo katika mapenzi uongo ni sumu mbaya na nidalili moja wapo ya kuonyesha kuwa mpenzi wako hana penzi la dhati nawe na huyo aweza kukuletea athari za kufikiri hapo baadae endapo hautakuwa makini nae. 
Hivi karibuni nilikuwa mjini Mbeya nikipata chakula katika moja ya mgahawa uliopo mkabala na Posta, katika mgahawa huo nilikutana na vijana wawili na msichana mmoja wakiwa wanakula chakula ambapo kati ya kijana mmoja alionekana kuwa ni mpenzi mpya wa yule binti ambaye alisikika akisema kiwa ‘’ukija kwangu atakalia sofa ambazo hujawahi kuziona maishani’’ hali iliyonishtua na kuelewa mara moja kati ya tabia alizonazo kijana yule ambaye anaonekana ni mcha Mungu.
Hivi utajisikiaje Mpenzi wako akigundua kuwa ulikuwa ukimdanganya na hatimaye yeye akajua ukweli wa suala ulilokuwa ukimpiga fiksi? Lakini ushauri wangu si kumacha bali jaribu kumshauri kwa hekima na akiendelea na tabia hiyo ujue kuwa hana mapenzi ya kweli kwako.
2.     Kupenda pesa
Ukiona mpenzi wako wa kike ama kiume anapenda sana kupata pesa kutoka kwako tambua ni moja ya dalili ambazo zinajieleza kuwa hana mpango nawe bali analazimika kuwa nawe kutokana na pesa ama kipato chako. Mpenzi wa namna hiyo ili kujihakikishia dalili hii siku moja akikuomba pesa hata kama ameziona mwambie kuwa huna, hapo yupo tayari kuvunja hata mahusiano kwasababu kitu muhimu kwake hajapata na wala wewe si muhimu tena kwake.
Nieleweke kuwa sisemi pesa ni mbaya katika mapenzi, la hasha bali pesa na mapenzi ni sawa na trafiki na kondakta katika mambo Fulani yale………ya kuchafua mifuko kwenye nguo nyeupe……………na ni muhimu wapenzi mkapenda kupeana maarifa ya kufanya kazi halali ili kujipatia vipato kwa ajili ya kuepukana na hili.
3.     Hajali kutokuwa jirani na wewe.
Mpenzi anaye kupenda muda mwingi hutamani kuwa nawe karibu na inapotokea hamjaonana hata masaa sita au matatu hujisikia shida ambapo kwa wengine hufikia kupiga simu na ukimuuliza anasemaje atakuuliza maswali yaliyoshonana kama ushanga mara upo wapi? Umekula? Na upo na nani? Na maswali mengi ya namna hiyo ili mradi moyo wake utulie.
Endapo Mpenzi wako mkiwa mbali naye kwa muda wa masaa mengi na yeye akaonyesha kuwa hakukosa chochote kutokuwa nawe karibu ama kuwasiliana nawe basi ujue kuwa mpenzi huyo ni kimeo yaani hana mapenzi ya dhati kwako.
4.     Anapenda kukuudhi
Dalili ya Nne ya mpenzi asiyekuwa na mapenzi ya dhati nawe ni yule anayependa kukuudhi mara kwa mara kana kwamba anatafuta sababu ya kuachana nawe lakini anashindwa kutamka bayana kuwa haitaji tena kuwa nawe.
Maudhi hayana budi kutokea pale inapobidi kwa bahati mbaya sana na si kwa makusudi, lakini wapo wapenzi wanaowaudhi wenzao kwa makusudi huku wakiendelea kusisitiza maudhi hayo kama utani na kujua kwa makusudi kuwa anamuumiza mwenzi wake bila kuomba msamaha. Ingawa kuomba msamaha ni kipaji na hasa katika mfumo dume ambao unaonesha kuwa mwanaume anapoomba msamaha basi ujue katumia njia nyingi za kumaliza tatizo hilo zimeshindikana hivyo kaomba msamaha kwa kulazimika sana na kwa siri.
Mpenzi msomaji wa safu hii, baada ya kuona dalili hizo za mpenzi asiyemwaminifu kwako, je wajua kuwa tendo la ndoa lina faida kubwa katika afya yako? wiki ijayo jiandae kujua faida nane za kufanya ngono kiafya.

FAIDA NANE ZA KUFANYA NGONO


Mpenzi msomaji wa safu hii, juma lililopita tuliona na kujifunza baadhi ya dalili za mpenzi asiye na penzi la dhatiu kwako, hii tunajikita kujua walau faida tisa za kufanya ngono.
Ngono au tendo la ndoa lina faida kubwa katika mwili wa binadamu ambazo ni zaidi ya kustarehesha ama kustareheshwa hasa linapofanywa na watu wazima na tendo hilo ukizidisha unaweza kupata madhara kiafya .
1.     Mzunguko wa Damu.
Tendo la ndoa huongeza kasi ya mzunguko wa damu mwilini kutokana na kuongezeka kwa mapigo ya moyo ambayo huboresha mzunguko huo wa damu pale unapopumua wakati wa kufanya tendo hilo.
2.     Mazoezi ya mwili.
Watu wengi hawafanyi mazoezi lakini kufanya ngono ni moja ya mazoezi ya mwili ambapo unatakiwa kwa wiki moja asizidishe kufanya ngono mara tatu jambo ambalo litakusaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini pia ukifanya hivyo kwa kipindi cha mwaka mmoja ni sawa na kukimbia maili 75 na tendo hilo huongeza karibia vizalisha nguvu 150 kwa nusu saa ambayo ni sawa na kukimbia dakika 15 uwanjani.
3.     Maumivu
Unapofanya mapenzi homoni iitwayo oxytosin huzalishwa mwilini ambayo hupelekea kuzalishwa kwa homoni iitwayo endorphin ambazo huwezesha kupunguza maumivu mwilini ikiwemo uvimbe, maumivu ya shingo na kichwa ambapo ukiona vitu hivyo vinakusumbua fanya mapenzi.
4.     Mafuta yenye kileo
Huweka uwiano wa mafuta yenye kileo (Cholesterol) nzuri na mbaya na hupunguza kwa uwiano sawa kiasi cha mafuta mwilini.
5.     Huondoa Maji yenye madhara
Tendo la ndoa la mpangilio huondoa uzalishaji wa majimaji yanayozalishwa kwenye prostate ambayo huwa na madhara kwa binadamu.
6.     Usingizi mnono
Hakuna ubishi kwa yeyote aliyewahi kufanya ngono kuwa aliwahi kupata usingizi mnono isivyo kawaida hasa baada ya shughuli ambayo hata mnyama Simba angeingia mahala hapo pa faragha hakuna hata mmoja ambaye angeweza kuacha tendo hilo na kumkimbia Simba.
Kufanya mapenzi na kuupumzisha mwili kabla ya kuanza tena tendo hilo hasa kwa wanaume ni jambo muhimu ambapo utaupa mwili auheni ya kutuliza akili na kurekebisha mzunguko  wa damu mwilini ambapo baadaye ukitaka kulala utalala swadakta…….
7.     Kudumisha ujana
Homoni iitwayo DHEA huzalishwa mwilini ambayo husaidia msisimko kuongezeka ambapo mwanadamu anayefanya mapenzi huongezewa ufahamu, kuimarisha mifupa, mishipa ya moyo na hata kuzuia wapinzani wa kazi za mishipa ya fahamu na hupunguza baridi na mafua na watu wanaofanya mapenzi huelezwa kuwa mara kadhaa huonekana vijana hata kama umri utakuwa umekimbia.
8.     Homoni za kiume na za kike kuongezeka
Uzalishaji wa homoni za kike na kume huongezeka mara dufu ambapo kwa mwanaume humsaidia kuimarika kwa homoni ya kiume ambayo husaidia kuimarisha mifupa na miduli na kwa mwanamke tendo al ndoa humwongezea honi ambayo inatunza tissue za sehemu ya uke na humsaidia kupokea mapenzi na kuwajibika awapo mahala husika na mwenzi wake.
Mpenzi msomaji wangu bila shaka umeanza kupagawa baada ya kuona walau faida chache za kufanya mapenzi, sasa wiki lijalo tutaangalia dalili za mwanamke anapotaka ngono.