Saturday, October 5, 2013

MMEONA MUZIKI WA MSANII SHILOLE UNAVYOCHEZWA JUKWAANI ?, ADAIWA KUNYONYWA MATITI MBELE YA UMATI WA MASHABIKI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA.


Shabiki huyu sijui alimruhusu amnyonya maziwa Shilole baada ya kumuita jukwaani ili wach

eze wote. Mhhhhh hatari kweli kweli.
Kazi ipo !!!, Shilole akionyesha kulegea baada ya kunyonywa na shabiki wake huyu mwanaume.

jamaa akifaiti ziwa la Shilole


Angalau hapa pamekaa vyema kwa uchezaji japo kidogo !!!. Aina hii ndiyo inaanza hivi. Hii nayo ni aina nyingine pindi anapokuwa anacheza na shabiki, haki ya nani balaa tupu. Huyu ndo Shilole katikati ya mwili wa mwanaume ambaye anadaiwa kuwa ni shabiki wake, hii ni aina nyingine ya uchezaji wa muziki wa Shilole namna unavyochezwa.
Sijui huu ndiyo muziki gani unaochezwa hivi, sidhani kama mtu atasutwa kufanishwa na kitendo hiki kinachofanywa na watu wenye jinsia mbili tofauti katika faragha.