Tuesday, May 28, 2013

HII NDIO INAYODAIWA KUWA NI SABABU YA KUSABABISHA KIFO CHA NGWAIR SOUTH AFRICA.



http://3.bp.blogspot.com/-WhLAsO1Z0Cg/TftKo0GeYeI/AAAAAAAAAkY/Z6SKc0_7gz0/s1600/NgweaWEB.jpg 
ALBERT MANGWEA.
 
RIPOTI KAMILI
TAARIFA Nilizo Pata Kutoka South Africa Kutoka Kwa Hussein Original Ambaye Yupo Pretoria Amesema Ngwear Amefariki Leo Asubuhi. 
Alikuwa Ghetto Moja Na Msanii M To The P.
Walivyokwenda Kuwagongea Asu

buhi Walikuta Ngwear
Amefariki Na M To The P Amepoteza Fahamu Kabisa. 
Pia Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa Watu Wa Karibu Wa Ngwear Huko South Africa.  
Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa mtu wa karibu anasema walitakiwa kurudi Dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi hospitali.

No comments: