Friday, May 17, 2013

ASKOFU MTEGA ASTAAFU

Waumini wa kiwa njia panda wakingoja kauli ya Uhakika kuhusu Mhashamu Norbet Mtega ni kweli Amestahafu ? 
 Mhashamu Askofu Norbeth Wendelin Mtega.
.....................................................
Na Nathan Mtega,Songea.

BAADHI ya waumini wa kanisa katoliki jimbo kuu la Songea  waishio katika  maeneo mbali mbali  mjini Songea mkoani Ruvuma wameonesha kushitushwa na taarifa zilizo patikana za kujiuzulu kwa kiongozi  mkuu wa jimbo kuu la Songea , Mhashamu Askofu Norbeth Wendelin Mtega.

Taarifa za kujiuzulu kwa kiongozi huyo zilipatikana jana  majira ya saa 7 mchana ambazo zilieleza kuwa Askofu Mtega alikuwa ametembelea abasia ya wabeneditini iliyopo  Hanga wilayani Namtumbo mkoani humo .

No comments: