Friday, May 3, 2013

.
tukio jingine.
Ripoti kutoka kusini kwa Kentucky Marekani zimetaarifu kwamba mtoto wa miaka miwili ameuwawa kwa risasi na kaka yake mwenye umri wa miaka mitano aliekua anachezea bunduki aliyokua amezawadiwa.
Hiyo bunduki ilikua kwenye kona ambayo wazazi waliisahau pia kuitoa risasi ndani yake….. mtoto huyo wa kiume akaichukua na kuanza kuichezea wakati huo mama alikuepo nyumbani lakini hakuwa amemuona.
Kwa bahati mbaya akafyatua risasi ambayo moja kwa moja ilimlenga mdogo wake mwenye umri wa miaka miwili ambae ni alikimbizwa hospitali na baadae kufariki…. pamoja na uzito wa tukio huyu mtoto aliefariki atafanyiwa uchunguzi kwenye mwili kama risasi alipigwa kwa bahati mbaya ama ilikua ni kitu kingine.
.
.
.

No comments: