Sunday, May 26, 2013

BREAKING NEWzzzz .... MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KUTANGAZWA UPYA KESHO JUMATATU TAREHE 27/5/2

Habari za kuaminika kutoka kwa Ndugu wa karibu wa Mh. Naibu Waziri Philip Mulugo anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa kesho baada ya kukamilika kwa marekebisho ya upangaji mpya wa madaraja. Credits: Talkbongo blog

MAKALA: TUMETAYARISHA AJENDA GANI KWA OBAMA?

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 48 minutes ago
Markus Mpangala Ziara ya Barrack Hussein Obama inaelekea kuwagusa wengi mno. Baadhi yetu tunaguswa na idadi ya watu watakaokuwepo kwenye ziara hiyo, ambao ni 700. Wengi wanajaribu kujiuliza ni kwanini Obama akae siku 4 nchini Tanzania. Lakini kwangu mimi muhimu sio siku zake atakazokuwepo hapa wala idadi ya watu atakaoambatana nao. Jambo muhimu kwangu ni Tanzania. Naam, rais mstaafu George Bush alikaa hapa siku kama hizo hizo. Lakini wengi walidhani matokeo ya ziara yake ni siku chache ama zaidi. Sasa Obama anakuja, haendi Kenya, bali anakuja Tanzania. Hata hivyo tuendelee kufikiri... more »

MARTHA GEWE ANYAKUA TAJI LA REDD'S MISS UKONGA 2013

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 48 minutes ago
Mshindi wa Shindano la Redd’s Miss Ukonga 2013, Martha Gewe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili, Diana Joachim (kushoto) pamoja na mrembo aliyeshika nafasi ya tatu, Natasha Mohamed mara baada ya warembo hao kutangazwa kuwa ndio washindi wa shindano hilo Usiku wa kuamkia jana katika shindano lililofanyika Ukumbi wa Wenge Garden Ukonga Mombasa jijini Dar es Salaam. Martha aliwashinda warembo wengine 12 katika shindano hilo. Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora ya Redd’s Miss Ukonga 2013 wakiwa katika picha ya pamoja kutoka kushoto ni Vanesa Magile,... more »

BARCELONA WAONGEZA JEMBE JIPYA, WAMSAINISHA NEYMAR KWA MIAKA MITANO.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 48 minutes ago
*Neymar akichuana na Messi wakati wa mechi yao ya fainali ya Kombe la Dunia la Klabu baina ya Barca na Santos mwaka juzi* *Neymar akichuana na Glen Johnson wakati wa mechi baina ya timu ya taifa ya Brazil na England* *Neymar akionyeshana shughuli na Tom Cleverly* *Karibu Barca mwana.... Neymar akipongezana na Lionel Messi baada ya mechi yao ya fainali ya Kombe la Dunia la Klabu mwaka juzi. * BARCELONA imefanikisha kumsajili mshambuliaji wa Santos, Neymar kwa dau linalokadiriwa kuwa euro milioni 28 leo. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil atajiunga na Barcelona k... more »

YANGA KWA MBWEMBWE, WANAMTUMISHI PALE IKULU KWA JK AMBAYE HIVI SASA NI OFISA.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 1 hour ago
*UNAMKUMBUKA ?.* *Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Juma Kaseja kulia ambaye ni kipa namba moja wa timu hiyo na klabu ya Simba SC, akiwa na kipa wa zamani wa Yanga SC (2000-2003), Matokeo Lucas katika viwanja vya Ikulu, mjini Dar es Salaam Alhamisi wiki hii, wakati wachezaji wa Taifa Stars walipozuru Ikulu kwa mwaliko wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Matokeo kwa sasa ni mtumishi wa Ikulu, katika kitengo cha Udereva.*

HIVI HUYU LULU HANA MTU WA KUMSHAURI ILI AVAE NGUO ZENYE HESHIMA ?.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 1 hour ago
*Muigizaji wa kike aliyekulia kwenye tasnia ya bongo movie, kwa kuwa alianza tangu akiwa mdogo na hadi sasa kipaji chake kinazidi kung’aa. Haishii kung’arisha kipaji chake tu bali anazidi kuwa na muonekano wenye mvuto pia.* * * Lulu anaonekana hana stress tena kama ilivyokuwa siku kadhaa zilizopita alipokuwa chini ya ulinzi mkali akituhumiwa kusababisha kifo cha muigizaji mwenzake Steven Kanumba. Huu ndio muonekano wa Lulu sasa hivi:

JESHI LA POLISI LIMEENDELEA KUWATIA MBARONI WACHOCHEZI WA VURUGU

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 1 hour ago
** [image: vujo-mtwara] JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA Anuani ya Simu “MKUUPOLISI” & nbsp; Ofisi ya Inspekta Jenerali wa Polisi, Simu : (022) 2110734 Makao Makuu ya Polisi, Fax Na. (022) 2135556 S.L.P. 9141, Unapojibu tafadhali taja: DAR ES SALAAM. 26 MAY 2013 TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI Kwa mafanikio makubwa, Jeshi la Polisi nchini limeendelea kuwakamata wachochezi wanaotumia simu za mkononi (sms) ili kuchochea vurugu na fujo hapa nchini ambapo huko mkoani Lindi amekamatwa mtu mwingine mmoja kw... more »

FREEMAN MBOWE ATEMA CHECHE KATIKA MKUTANO WA HADHARA KANDA SONGEA.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 1 hour ago
 Mwenyekiti wa Chana cha Chadema - CDM - Taifa na Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe, (Mb.) akihutubia umati wa watu katika viwanja vya Shule ya Msingi Matarawe manispaa ya Songea wakati wa kampeni ya Chama hicho kuzindua kanda ya kusini leo. (Picha na Juma Nyumayo)   Mhe. Freeman Mbowe, akisisitiza umuhimu wa wananchi wa mikoa ya Kusini, hasa mkoa wa Ruvuma ambao hauna Mbunge wa Upinzani hata mmoja kujiunga na vita ya kupambana na ufisadi na kunyimwa haki wananchi kwa kujiunga na upinzani katika viwanja vya Shule ya Msingi Matarawe Manispaa ya Songea... more »

UNYAMA: VIKONGWE WATATU WAUAWA KIKATILI KWA KUCHOMWA MOTO HUKO BUNDA .... RIPOTI KAMILI YA HABARI NA PICHA HII HAPA

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 2 hours ago
** MAUAJI ya kikatili yametokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda, mkoani Mara baada ya watu wenye hasira wa kijiji cha Kasaula kuwauwa kwa kuwachinja kama Kuku kisha kuwachoma moto vikongwe watatu kwa kuwatuhumu wanajihusisha na vitendo vya kishirikina. Pia watu hao mbali na kuwaua kikatili vikongwe hao kwa tuhuma kwamba walimuua kijana mmoja aitwaye Sale Ligolo, walichoma moto na kuteketeza nyumba walizokuwa wakiishi wazee hao pamoja na kupora kuku waliokuwa wakiwafuga na kuwatafuna kumaliza hasira zao. Kwa mujibu wa wa taarifa ya mwandishi Masau Bwire aliyepo Bunda kwa sasa, tu... more »

Uchaguzi mdogo wa jimbo la Chambani Mkoa wa Kusini Pemba CCM kufanyika Juni 16.

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 2 hours ago
[image: 383]Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi (pichani) kesho anatarajiwa kuzindua rasmi Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chambani Mkoa wa Kusini Pemba kupitia Chama hicho kwa nafasi ya Kiti cha Ubunge. Uchaguzi huo mdogo wa Jimbo la Chambani umekuja kufuatia aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Marehemu Salim Hemed Khamis kufariki dunia kutokana na maradhi ya moyo mnamo Tarehe 26 Machi Mwaka huu. Balozi Seif ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar atahutubia Wanachama wa CCM, Wapenzi na Wananchi wa Jimbo hilo katika Mkutano wa ha... more »

RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI A BARAZA LA MAPINDUZI DKT. SHEIN AONDOKA NCHINI

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 2 hours ago
[image: IMG_1091] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na Maafisa wa Ubalozi wa China,wanaofanyia kazi Zanzibar, katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,akielekea Nchini China katika Zaiara ya Kikazi kwa mualiko wa Serikali mya China,{Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] [image: IMG_1092] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na Maafisa wa Ubalozi wa China,wanaofanyia kazi Zanzibar, katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,akielekea Nchini China katika Zaiara y... more »

ZITTO KABWE:URGENT ADVISORY NOTE TO HE PRESIDENT JAKAYA KIWETE

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 3 hours ago
*URGENT - Advisory note* *To H E President Jakaya Kikwete* *United Republic of Tanzania* * * *The licensing process should be suspended until we have proper policy and legislation in place. The terms of the PSCs to be agreed in the 4th Licensing Round will determine how Tanzania benefits from natural gas. The fourth phase presidency could have a huge impact that could last for generations – if it makes the right decisions in the next two years.* * * *There is time. BG announced on May 14 that it would be 3-4 years before they reach the “project sanction/final investment deci... more »

HIVI NI, VITUKO VILIVYOAZALISHWA NA BINADAMU KWA WANYAMA, JE WENYEWE WANAJITAMBUA KWA HALI HIYO ?.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 5 hours ago
*HAPA MBWA WAKIWA WAMEFUNGISHWA NDOA ILI KUWEZA KUFANANA NA BINADAM NAMNA ANAVYOWEZA KUOA MKE, SIJ* *UI KAMA VIUMBE HAWA WANATAMBUA MAWAZO YA BINADAMU !!!* *MBWA AKIWA JUU YA BAISKE HUKU IKITEMBEA.* *NGEDERE AKIWA KATIKA BAISKELI*

ADHA YA WENYE MAGARI MIJINI HII HAPA.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 5 hours ago
*MWENYEKITI wa Umoja wa waandishi wa habari mkoa wa Morogoro (MOROPC) Idda Mushi kushoto akiwa mmoja wa mashuhuda wa tukio la gari kufungwa nyororo eneo la daraja la Shan baada ya wafanyakazi wa maegesho kufunga gari hilo kwa madai ya kuegesha gari kat* *ika eneo ambalo haliruhusiwa mkoani Morogoro.*

MWALIMU NYERERE, KAWAWA WATAMBULIWA UMOJA WA AFRIKA.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 5 hours ago
*BABA wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ni miongoni mwa Watanzania watatu wanaotarajiwa kutambuliwa na kuenziwa na Umoja wa Afrika (AU) rasmi kama Mwafrika Mashuhuri wa Kimaj* *umui.* Hatua hiyo inatokana na kuheshimu mchango wao katika mapambano ya Uhuru wa Afrika na kuanzishwa kwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) ambao sasa unajulikana kama AU. Watanzania wengine katika kundi hilo la ‘Mwafrika Mashuhuri’ ni Rashidi Kawawa na Sebastian Chale, Katibu Mkuu wa Kwanza wa Sekretarieti ya Kamati ya Ukombozi wa OAU, ambao kwa sasa ni marehemu. Kutokana na mchango wa... more »

AIBU: WAZIRI WA MADINI AZOMEWA HIVI "CHURA...CHURA....CHURA" NA WAMACHINGA MJINI DODOMA JIONI YA JANA...!!

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 6 hours ago
*KATIKA hali isiyo ya kwaida jana jioni , waziri muhongo amepatwa na kadhia ya aina yake hapa Dodoma alipokuwa akitoka kwenye duka la madawa mjini kati. * * * *Vijana ambao wanasadikiwa kuwa madereva wa Bodaboda na wachuuzi, yaani wamachinga, walianza kumzomea kumuita “chura! Chura! Chura! Chura!” * * * *Hali iliyompelekea Muhongo kutembea kwa haraka kuelekea kwenye gari iliyokuwa ikimsubiria pembezoni mwa barabara. * * * *Baada ya kufika kwenye gari, waliondoka kwa kasi ya ajabu kuelekea ofisi za bunge huku vijana wakiendele akumzomea ! MAONI. Huu ni mwanzo mbaya kwa hawa... more »

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MARAIS WASTAAFU HUKO ADDIS ABABA.

JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 6 hours ago
*Rais Jakaya Kikwete akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kushoto kwake), Mzee Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dk Salim Ahmed Salim (kulia) kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis Ababa, Ethiopia, leo Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa wageni mashuhuri walioaliokwa kwenye sherehe hizo.* *Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wanahabari baada ya kuhudhuria Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika makao ma... more »

BREAKING NEWS.....IRINGA NI SHWARI MACHINGA WAPINGA KUTUMIKA KISIASA ,RC IRINGA AWAPONGEZA MACHINGA KWA KUREJEA MLANDEGE .... HALI IPO HIVI SASA ...

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 8 hours ago
Baadhi ya maduka eneo la Mashine tatu mjini Iringa yakiwa yamefungwa kwa hofu ya kutokea vurugu ,ambazo hata hivyo hazijatokea baada ya machinga kugoma kutumiwa kisiasa Hali ilivyo eneo la Mashine tatu mjini Iringa Haya ni maadishi yanayosomeka HATARI yaliyochorwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana kama sehemu ya kuwatisha wananchi na kuhamasisha vurugu kabla ya jeshi la polisi kuweka ulinzi mkali eneo hilo Wafanyabiashara wa maduka ya mchele eneo la mashine tatu wakiendelea na biashara zao kwa utulivu zaidi leo Hili ndilo eneo la mashine tatu kama linavyoonekana... more »

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MARAIS WASTAAFU, AHUDHURIA KIKAO CHA AMANI DRC CONGO

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 8 hours ago
[image: aa1] Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis Ababa, Ethiopia, leo Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa wageni mashuhuri walioaliokwa kwenye sherehe hizo. [image: aa2] Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wanahabari baada ya kuhudhuria Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika ma... more »

WAKUU WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA NA TANZANIA WASAINI MAKUBALIANO YA KUTOA MAFUNZO KWA MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA

Emmanuel Shilatu at EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG - 8 hours ago
[image: polis3 e8582] Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Namibia, Kamishna Jenerali Evaristus Shikongo akiijaribu moja ya silaha inayotumika kwa ajili ya kutuliza ghasia wakati wowote inapotokea ndani na nje ya gereza [image: polis4 7e52b] Askari wa Kikosi Maalum cha Kutuliza Ghasia Magerezani, wakimuonesha mbinu za kupambana na adui pasipo kutumia silaha Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Namibia, [image: polis5 1e862] Mkuu wa Chuo cha Maafisa Magereza Ukonga, ACP Mbaraka Semwanza akitoa taarifa fupi ya chuo hicho kwa Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Namibia, Kamishna Jenerali Evarist... more »

BUNGE LAAHIRISHWA TENA LEO:

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 3 days ago
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Anna Makinda ameliahirisha tena bunge leo asubuhi ili kupisha kamati ya uongozi ya Bunge iendelee kukutana ili kutoa maamuzi na tamko kuhusu vurugu za Mtwara zilizojotokeza jana na kusababisha mtu mmoja kufariki dunia na uharibifu mbalimbali kutokea ikiwemo kuchomwa moto nyumba za viongozi wa serikali,chama cha mapinduzi na nyumba ya mwandishi wa habari wa TBC. [image: BUNGE LAAHIRISHWA TENA LEO:Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Anna Makinda ameliahirisha tena bunge leo asubuhi ili kupisha kamati ya uongozi ya B... more »

HABARI KUTOKA ZANZIBAR ZINASEMA SHEHE AMWAGIWA TINDIKALI

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 3 days ago
;Sheha wa Tumondo Mohamed Omary Said,amemwagiwa tindikali na mtu asiyejulikana na hivyo kupata maumivu makali sehemu yake ya kifua na jicho kuumia pia. Sheha huyo alikimbizwa katika Hospitali ya Mnazi mmoja mjini Unguja ambapo alipatiwa matibabu ya dharura. Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi,Mukhadam Khamis,amesema chombo kilichotumika kumwagia tindikali Sheha huyo kilipatikana eneo la tukio na kwamba polisi imekichukua kwa kukichunguza kitaalam ili kugundua aliyekuwa akikitumia kwa kuangalia alama za vidole. Sheha huyo alimwagiwa tindikali jana usiku wakati alipotoka nj... more »

Nigeria kuwaachiliwa wanawake washukiwa

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 4 days ago
Wapiganaji wa Boko Rama wamewateka nyara wanawake na wasichana Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan, ameamuru kuachiliwa kwa wanawake wote waliokamatwa kwa kuhusishwa na vitendo vya kigaiidi. Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka wizara ya ulinzi. Kulingana na wizara hiyo, uamuzi huo ulilenga kuimarisha juhudi za amani nchini Nigeria. Taarifa zinazohusiana - Siasa Jeshi linaendesha operesheni katika majimbo matatu ambako sheria ya hali ya hatari ilitangazwa wiki jana ili kuwezesha jeshi kupambana vilivyo na wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram. Kundi hilo lilisema kuwa halitawaac... more »

Mapigano yaendelea kwa siku ya pili Goma

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 4 days ago
Mamia wanatoroka maeneo ya vita Goma kukimbilia usalama wao Makabiliano kati ya jeshi na waasi wa kundi la M23 Mashariki mwa Congo yameendelea kwa siku ya pili. Pande hizo mbili, zilifyatuliana risasi mjini Goma huku kila upande ukituhumu mwingine kwa kuanzisha uchokozi na kuchochea mapigano. Taarifa zinazohusiana Mapigano yalianza Jumatatu na kumaliza makubaliano ya miezi sita ya kusitisha vita kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wa kundi la M-23 , ambao waliwahi kuteka mji wa Goma mwaka jana ingawa kwa muda mfupi. Mtaalamu wa maswala ya kijeshi amesema kuwa waasi wa M23 wanat... more »

Tume yapendekeza wakuu kushtakiwa Kenya

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 4 days ago
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake Ruto wametajwa katika ripoti hiyo Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na naibu wake wametajwa katika ripoti inayowahusisha na ghasia za baada ya uchaguzi katika ripoti iliyosubiriwa kwa muda mrefu kuhusu ukiukwaji wa haki za bindamau nchini humo. Ripoti hiyo hata hivyo haikutoa mapendekezo ya hatua inazotaka kuchukuliwa dhidi ya Rais Kenyatta na naibu wake William Ruto. Taarifa zinazohusiana Mwenyekiti wa tume hiyo, aliambia BBC kuwa ni kwa sababu wawili hao wanakabiliwa na kesi ya uhalifu dhidi ya binadamu katika mahakama ya kimataifa ya ICC. Rais Kenya... more »

MAJINA YA WANAFUNZI WA CBE NA UDSM WALIONASWA WAKIJIUZA ( MAKAHABA)

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 4 days ago
** *Wanafunzi wa kike wa chuo kikuu cha Dar es salaam [UDSM],Chuo cha elimu ya biashara [CBE]na chuo cha mamlaka ya Elimu na ufundi stadi [VETA],Dar es salaam ,wamefikishwa katika mahakama ya jiji samora wakidaiwa kufanya biashara ya kuuza mili yao.* *Washitakiwa hao waliokamatwa katika eneo la kona Baa Ambiance Sinza wilayani kinondoni ambao ni miongoni mwa wanawake 35 wanaodaiwa kufanya biashara hiyo na wote walifikishwa mahakamani hapo.* *Kesi hiyo ilikuwa chini ya hakimu Willian Mtaki ambapo muendesha mashitaka,bwana John Kijumbe,alisema wasichana hao walikamatwa katika mazi... more »

VYUO MBALI MBALI VYA TANZANIA, SIFA ZA UOMBAJI, NAMNA YA KUOMBA, TOVUTI ZA VYUO HIVYO.

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
KWA WAOMBAJI WA KOZI MBALIMBALI TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ZIFUATAZO KWA MSAADA ZAIDI: Chuo cha ufundi Arusha (ATC).www.atc.ac.tz. Sifa za mwanafunzi ni kupata angalau (D)katika masomo ya sayansi ambayo ni mathematic,physics,chemistry kwa mwanafunzi wa kike but kwa mwanafunzi wa kiume awe amepata (c) katika masomo mawili kati ya hapo juu baada ya hapo ataitwa katika access course ambayo inachua muda wa miezi miwili na wiki mbili mwanafunzi anatakiwa kupata alama hamsini katika kila somo ambayo ni mathematic,physics ,computer and mechanic gharama za acc Ess course ni shilingi laki mbi... more »

VYUO MBALI MBALI VYA TANZANIA, SIFA ZA UOMBAJI, NAMNA YA KUOMBA, TOVUTI ZA VYUO HIVYO.

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
KWA WAOMBAJI WA KOZI MBALIMBALI TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ZIFUATAZO KWA MSAADA ZAIDI: Chuo cha ufundi Arusha (ATC).www.atc.ac.tz. Sifa za mwanafunzi ni kupata angalau (D)katika masomo ya sayansi ambayo ni mathematic,physics,chemistry kwa mwanafunzi wa kike but kwa mwanafunzi wa kiume awe amepata (c) katika masomo mawili kati ya hapo juu baada ya hapo ataitwa katika access course ambayo inachua muda wa miezi miwili na wiki mbili mwanafunzi anatakiwa kupata alama hamsini katika kila somo ambayo ni mathematic,physics ,computer and mechanic gharama za acc Ess course ni shilingi laki mbi... more »

VYUO MBALI MBALI VYA TANZANIA, SIFA ZA UOMBAJI, NAMNA YA KUOMBA, TOVUTI ZA VYUO HIVYO.

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
KWA WAOMBAJI WA KOZI MBALIMBALI TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ZIFUATAZO KWA MSAADA ZAIDI: Chuo cha ufundi Arusha (ATC).www.atc.ac.tz. Sifa za mwanafunzi ni kupata angalau (D)katika masomo ya sayansi ambayo ni mathematic,physics,chemistry kwa mwanafunzi wa kike but kwa mwanafunzi wa kiume awe amepata (c) katika masomo mawili kati ya hapo juu baada ya hapo ataitwa katika access course ambayo inachua muda wa miezi miwili na wiki mbili mwanafunzi anatakiwa kupata alama hamsini katika kila somo ambayo ni mathematic,physics ,computer and mechanic gharama za acc Ess course ni shilingi laki mbi... more »

MBUNGE WA CHADEMA PETER MSIGWA ASHIKILIWA NA POLISI BAADA YA VURUGU ZA MACHINGA NA MGAMBO WA MANISPAA IRINGA.RUMANDE.

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
[image: BREAKING NEWS!! MBUNGE MSIGWA AKAMATWA,KISA KUWATETEA RAIA WAKE: Serikali ya Tanzania inayoongozwa na CCM inastahili kuingia katika rekodi ya Serikali za kidikiteta duniani kwa kuwanyanyasa raia wake,hasa wanaoonekana kukataa chama Tawala yaani CCM.Wamachinga Iringa mida hii wanapigwa mabomu kana kwamba ni digidigi kstika nchi yao.Serikali imewawezesha kiuchumi na kuwapa eneo stahili ambalo ni rafiki kwao kabla ya kuwatimua tena kwa Mabomu kama majambazi?CCM mwogopeni hata Mungu kwa mnavyowanyanyasa Watanzania wenzenu,kumbuka huo udikiteta mnaoutumia kwa binadamu wenzenu ma... more »

MATUKIO NA PICHA

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Indonesia nchini Tanzania Mhe Zakaria Anshar,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akimsindikiza mgeni wake Balozi wa Indonesia nchini Tanzania Mhe Zakaria Anshar,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi baada ya mazungumzo yao. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu, Zanzibar Imetumwa Na: Emmanuel Shilatu at 7:00 PMNo comments: Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook Reactions: Kinywaji cha Chi... more »

BAADA YA KUWEPO HOFU YA MAANDAMANO, MJI WA MTWARA WATAWALIWA NA UKIMYAA, SHUGHULI ZA SIMAMA, ULINZI KILA KONA. .... ONA HALI ILIVYOKUWA

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
Ulinzi umeimarishwa kila kona Hali ya usalama ndani ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ni tete. Soko Kuu, kituo kuu cha mabasi na maduka yamefungwa tangu asubuhi. Usafiri wa Pikipiki unapatikana katika baadhi ya maeneo machache ya mji, huku maneo makuu ya biashara yakiwa wazi bila ya pilikapilika za watu kama ilivyo kawaida. Polisi wakiwa kwenye magari wameonekana katika maeneo mbalimbali ya mji, na wengine kuweka makambi madogo katika maeneo yanayoaminika kuwa na msongamano wa watu katika siku za kawaida. Mwandishi huyu ameshuhudia magari ya polisi yakiwa na askari katika maeneo ya ... more »

Untitled

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
[image: kijiji] PICHA ZA AJABU ZA MBURULAZZ WA KOMEDI BONGO ZAZUA KIZAA ZAA NA MEDIA!! Masanii wa kundi la Ze Komedy Master Face akiwa na mmoja wa wasichana hao. Hapa msanii Kiwewe akiwa amewakumbatia wabint hao kabla ya kuingia nao kwenye maji Mmoja wa wasichana hao aliyejitambulisha kwa jina la Happy akiwa na kinguo cha aibu kabla ya kukivua kabisa. Hapa tayari akiwa amechojoa nguo Hapa Master Face akiwa na Happy kama anavyoonekana huku wakitomasana Hapa Happy na Master Face na Happy wakiwa wamedata kwa mahaba.Ilikuwa ni aibu mbele ya watu ... more »

Untitled

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
[image: kijiji] PICHA ZA AJABU ZA MBURULAZZ WA KOMEDI BONGO ZAZUA KIZAA ZAA NA MEDIA!! Masanii wa kundi la Ze Komedy Master Face akiwa na mmoja wa wasichana hao. Hapa msanii Kiwewe akiwa amewakumbatia wabint hao kabla ya kuingia nao kwenye maji Mmoja wa wasichana hao aliyejitambulisha kwa jina la Happy akiwa na kinguo cha aibu kabla ya kukivua kabisa. Hapa tayari akiwa amechojoa nguo Hapa Master Face akiwa na Happy kama anavyoonekana huku wakitomasana Hapa Happy na Master Face na Happy wakiwa wamedata kwa mahaba.Ilikuwa ni aibu mbele ya watu ... more »

UZEMBE WA MAMA LISHE WASAABABISHA HASARA MKOANI SINGIDA.

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
*KAMANDA wa polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) ofisini kwake kuhusiana na tukio la moto *. ********* Na Nathaniel Limu. Vibanda vinne vya biashara vinavyozunguka soko kuu la Manyoni mjini mkoa wa Singida, vimeteketea kwa moto unaodaiwa kusababishwa na mamalishe kusahau kuzima moto wakati akifunga biashara yake. Kamanda wa polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela amesema mtu wa kwanza kuuona moto huo ulioanzia kwenye kibanda cha mama lishe, ni mlinzi wa soko hilo aliyejulikana kwa jina la Jotamu Daud. Kamanda huyo amesema ... more »

ASKOFU MTEGA ASTAAFU

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
Waumini wa kiwa njia panda wakingoja kauli ya Uhakika kuhusu Mhashamu Norbet Mtega ni kweli Amestahafu ? Mhashamu Askofu Norbeth Wendelin Mtega. ..................................................... Na Nathan Mtega,Songea. BAADHI ya waumini wa kanisa katoliki jimbo kuu la Songea waishio katika maeneo mbali mbali mjini Songea mkoani Ruvuma wameonesha kushitushwa na taarifa zilizo patikana za kujiuzulu kwa kiongozi mkuu wa jimbo kuu la Songea , Mhashamu Askofu Norbeth Wendelin Mtega. Taarifa za kujiuzulu kwa kiongozi huyo zilipatikana jana majira ya saa 7 mchana ambazo zilielez... more »

Matukio na picha ya leo may 17

Sylivester nyagwisi - 1 week ago
UZEMBE WA MAMA LISHE WASAABABISHA HASARA MKOANI SINGIDA. *KAMANDA wa polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) ofisini kwake kuhusiana na tukio la moto *. ********* Na Nathaniel Limu. Vibanda vinne vya biashara vinavyozunguka soko kuu la Manyoni mjini mkoa wa Singida, vimeteketea kwa moto unaodaiwa kusababishwa na mamalishe kusahau kuzima moto wakati akifunga biashara yake. Kamanda wa polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela amesema mtu wa kwanza kuuona moto huo ulioanzia kwenye kibanda cha mama lishe, ni mlinzi wa soko hilo aliy... more »

Matukio na picha ya leo may 17

Sylivester nyagwisi - 1 week ago
UZEMBE WA MAMA LISHE WASAABABISHA HASARA MKOANI SINGIDA. *KAMANDA wa polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) ofisini kwake kuhusiana na tukio la moto *. ********* Na Nathaniel Limu. Vibanda vinne vya biashara vinavyozunguka soko kuu la Manyoni mjini mkoa wa Singida, vimeteketea kwa moto unaodaiwa kusababishwa na mamalishe kusahau kuzima moto wakati akifunga biashara yake. Kamanda wa polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela amesema mtu wa kwanza kuuona moto huo ulioanzia kwenye kibanda cha mama lishe, ni mlinzi wa soko hilo aliy... more »

Polisi mstaafu amcharanga mapanga mwanae wa miaka 4 [TAHADHARI: Picha za kukwaza]

Sylivester Nyagwisi at Sylivester nyagwisi - 1 week ago
Tukio hilo limetokea leo jioni nyumbani kwa Bwire baada ya kuanza kugombana na mke wake Happiness Elius (28) huku akiwa amelewa pombe ambapo, mkewe alikimbia kitu kilichosababisha kumgeukia mtoto Devotha na kuanza kumkata mapanga kichwani. Kwa mujibu wa majirani, kelele zilisikika kutoka kwenye mji huo na kwamba walipoenda walimkuta Bwire akichoma nguo za mke wake, na alipowaona aliingia ndani na kuanza kumkata mapanga mtoto huyo huku akiwa amefunga mlango. * * [image: Madaktari na wauguzi wakimhudumia mtoto huyo] Madaktari na wauguzi wakimhudumia mtoto huyo [image: polisi-amcharang... more »

No comments: