Tuesday, May 28, 2013

ADAIWA KUKUTWA ANAUZA SEHEMU ZA SIRI ZA WANAUME !.


JUMA MTANDA at JUMA MTANDA - 3 hours ago
*Mtuhumiwa Samuel Banda* *Foster Mangani* * * * * * * * JESHI la polisi nchini malawi wanamshikilia kijana mmoja baada ya kumkuta akiuza sehemu ya siri ya mwanaume.* kijana huyo mwenye miaka 24 alikamatwa baada ya wananchi kutoa ripoti kituo cha polisi kuwa kunamzee kalala relini huku akiwa anatokwa damu nyingi ndipo polisi walipofika eneo la tukio na kumkuta mzee huyo akiwa hio na kuamua kumkimbiza hosipitali. Baada ya kufikishwa hosipitali ndipo madaktari walipo gundua kuwa mzee huyo alikuwa amejeruhiwa kwa kukatwa sehemu zake za siri,mara moja madakt... more »

No comments: