Saturday, December 1, 2012

Chris Brown na Rihanna.
Wiki moja baada ya mwimbaji Rihanna kupost kwenye page yake ya mtandao wa Instagram picha ya Chris Brown akiwa kitandani bila shati, time hii Rihanna amezidi kuvipa vyombo vya habari cha kuongea baada ya kupost picha nyingine.
Picha yenyewe ni hiyo hapo kushoto ambapo sasa inazidi kujulikana kabisa kwamba Rihanna na Chris Brown ambao ni wapenzi wa zamani wamerudiana japo hawajawahi kutamka.
Kwa mujibu wa Necole, baada ya kuiweka hii picha RiRi aliandika “I don’t wanna leave! Killed it tonight baby”
Kwenye moja ya interview zake mwaka huu, Rihanna alisema bado moyo wake unamkubali sana Chris Brown na ni ngumu kumsahau maishani.
Picha hizi za Instagram zimezagaa siku kadhaa tu baada ya Chris Brown kutangaza kwamba ameachana na mpenzi wake ili kurejesha amani manake hakua anapenda akiona urafiki wa Chris na Rihanna unaendelea.
.
Baada ya marafiki wa karibu kuthibitisha kwamba siku za mwisho Marehemu Sharo Milionea aliwahi kukiri kwamba anahisi amelogwa na alikua hana amani, mama yake mzazi leo amezungumza na Amplifaya.
Baada ya kuwasikia  waigizaji Kitale na Mzee Majuto wakisema ni kweli Sharo Milionea alikiri kwamba anahisi amelogwa watu wengi walikua na kiu ya kufahamu kama Sharo aliwahi kumwambia mama yake.
.
Akiongea kwenye Exclusive interview na AMPIFAYA ya CLOUDS FM kijijini kwao Muheza Tanga, mama mzazi wa Sharo mwenye umri wa miaka 52 amesema Sharo hakuwahi kumwambia chochote kuhusu kulogwa au kutokua na amani maishani mwake.
Namkariri akisema “sijawahi kusikia chochote hata siku moja na wala sihisi chochote naona ni mipango ya Mungu tu, marafiki zake ndio walionielezea kwamba Sharo alikwenda kwa rafiki yake akawa kama mtu mwenye wasiwasi akasema najisikia vibaya toka nilipotoka kwangu lakini nilipofika kwako najisikia nimepona, baada ya hapo ndio akaondoka kwenda Tanga”
Mama mzazi wa Sharo Milionea ambae jana alisema hakuwa na taarifa kama Sharo Milionea alikua anakuja Tanga siku alipopata ajali ikiwa ni kawaida yake kutokutoa taarifa, amesema Sharo Milionea alikua tayari amenunua kiwanja Mbezi Dar es salaam na siku za mwisho alimtamkia kwamba anataka kuoa manake amechoka kuishi peke yake.
Hawa ni mashabiki wa timu ya Gormahia ya Kenya ambao waliangua vilio baada ya timu yao kushindwa.
.
Hizi picha za Wakenya nilizozipata zinanikumbusha yule shabiki wa Yanga kwenye hiyo video hapo chini ambae aliangua kilio uwanjanibaada ya kuona timu yake imehujumiwa.

MASTAA WA AFRICA NILIOKUTANA NAO 2012.

Posted: 1st December 2012 by MillardAyo in News
1
Hizi picha zote ni wakati nikiwa Johannesburg South Africa kwa ajili ya kuhudhuria tuzo za Channel O.
.
Wyre kutoka Kenya.
Keko kutoka Uganda.
.
Tiwa Savage kutoka Nigeria.
Camp Mulla kutoka Kenya.

.
Dj Cleo kutoka South Africa.
Ice Prince kutoka Nigeria.
Toya Delazy kutoka Afrika kusini.
Ukumbi palipofanyika tuzo za Channel O 2012, ulitengenezwa Soweto maalum tu kwa ajili ya tuzo baada ya hapo unabomolewa.
.
Ay
.
.
Donald Mr i deserve kutoka Afrika Kusini.

PICHA ZA KWANZA ZA UHURU SULEIMAN MAZOEZINI AZAM FC.

Posted: 30th November 2012 by MillardAyo in News
0
Mchezaji wa zamani wa Simba Sc Uhuru Suleiman akiwa na jezi ya Azam FC kwenye mazoezi kwenye uwanja wa Chamazi Complex unaomilikiwa na club hiyo aliyohamia.
.
Kwenye picha ya kwanza ni Mshambuliaji wa timu ya Kenya Anthony Kimani akimiliki mpira mbele ya beki wa timu ya Ethiopia, Abdulkarim Hassen Yigemo wakati wa mchezo wa Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela Jijini Kampalaambapo Kenya imeshinda 3-1 na kuingia robo fainali.
Shabiki wa Kenya. (shaffihdauda.com ndio mwandishi )
0

Warembo wakisubiri kuchujwa ili waingia kwenye video shooting.
.
.
.
.
Hawa ni ambao wameshapita tayari.
.
.
.
Hawa wengi wao hawakufaulu kwenye mchujo.
.
.
.
.
.

.
.
.
Ay na Fa walikua pamoja, Fa ameuza pia ndani ya video.



.
.
.
.

.
.
.

.

.


No comments: