Friday, June 7, 2013

MWILI WA MUME WA MALKIA WA MIPASHO YA TAARAB, KHADIJA KOPA KUZIKWA MUDA HUU BAGAMOYO.


Wakazi wa mtaa wa Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mum
e wa Khadija Kopa, Jafary Ally ambaye ni Diwani wa CCM kata ya Magomeni wakati wakielekea makaburi kwa ajili ya shughuli za mazishi.
Picha kwa hisani ya mdau Said Swala Iddy.

No comments: