Sunday, June 9, 2013

Host wa tuzo hizo mwaka huu alikuwa ni Zembwela na TJ.
Hii ni list nzima ya tuzo hizo.

Wimbo bora wa mwaka

Dear God – Kala Jeremiah

Msanii bora wa Kiume
Diamond

Msanii bora wa kike
Lady Jaydee

Msanii bora wa kike Taarab
Isha Mashauzi

Msanii bora wa kiume Taarab
Mzee Yusuf

Msanii bora wa kiume Bongo Flava
Diamond

Msanii bora wa kike Bongo Flava
Recho

Msanii bora wa Hip Hop
Kala Jeremiah

Msanii bora wa kiume Bendi

Chalz Baba

Msanii bora wa kike Bendi
Luiza Mbutu

Msanii bora anayechipukia
Ally Nipishe


Video bora ya mwaka
Baadaye – Ommy Dimpoz

Mtunzi bora wa mashairi Taarab
Mzee Yusuf

Mtunzi bora wa mashairi Bongo Flava
Ben Pol

Mtunzi bora wa mashairi hip hop
Kala Jeremiah

Mtunzi bora wa mashairi Bendi
Chalz Baba

Mtayarishaji bora wa mashairi muziki wa kizazi kipya
Man Walter

Mtayarishaji wa wimbo wa mwaka – Taarab
Enrico

Mtayarishaji wa wimbo mwaka – Bendi
Amoroso

Mtayarishaji chipukizi wa mwaka
Mesen Selekta

Rapper bora wa bendi

Fagasoni

Wimbo bora wenye vionjo vya asili

Chocheeni Kuni – Mrisho Mpoto ft Ditto

Wimbo bora wa bendi

Risasi Kidole – Mashujaa Band

Wimbo bora wa Reggae

Kilimanjaro – Warriors from The East

Wimbo bora wa Afrika Mashariki
Valu Valu – Jose Chameleone

Wimbo bora wa Bongo Pop
Me an You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa kushirikiana/Kushirikishwa
Me and You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa Hip Hop
Nasema Nao – Nay wa Mitego

Wimbo bora wa rnb

Kuwa na Subira – Rama Dee ft. Mapacha

Wimbo bora wa ragga/ dancehall
Predator – Dabo

Wimbo bora wa Taarab
Mjini Chuo Kikuu – Khadija Kopa

Wimbo bora wa zouk rhumba

Ni wewe – Amini

Bendi bora ya mwaka

Mashujaa Band

Kikundi bora cha Taarab
Jahazi Modern Taarab

Kikundi bora cha muziki wa Kizazi kipya
Jambo Squad

Hall of Fame – Institution

Kilimanjaro Band wana Njenje

No comments: