Thursday, May 7, 2015

MASTAA WA MAREKANI WAZUA GUMZO KWA MAVAZI YAO KWENYE SHEREHE,ANGALIA PICHA HAPA MTU WANGU


chek
uniiii
Jana mastaa mbalimbali Marekani walijumuika pamoja katika usiku wa 2015 MET Gala huku baadhi ya mastaa hao wakigeuka gumzo kutokana na muonekano wa mavazi yao ambao uliwavutia wengi.

Sherehe hizo za mavazi ambazo hufanyika kila mwaka, jana zilifanyika jijini Newyork na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali.
Beyonce, Kim Kardashian na Rihanna huenda ndio waliotia fora kwa mavazi yao.
bey
chek
Beyonce Knowles akiwa na mumewe Jay Z
bey5
Kim Kardashian akiwa na mumewe Kanye West
KIII
bey3
Kerry Washington

bey4
bey7
Rihanna
ririr
bey8
Jennifer Lopez
bey9
solange
Solange Knowles
legend
John Legend na mkewe Chrissy Taigen
keys
Alicia Keys
gomez
Selena Gomez

No comments: