Monday, January 7, 2013

PICHA 6 ZA STUDIO MPYA YA CLOUDS FM!!

Hii ilikua siku ya uzinduzi wa kamanda mpya anaetoa kibali kwenye spika za kila mwanafamilia wa CLOUDS FM Dar es salaam, anaitwa 88.5
Hii studio ina sehemu ya kisasa ya kupumzikia, sehemu ya vinywaji pamoja na mitambo ya kisasa kabisa.
.
.
.
B12 na Geah Habib wakimsikiliza Mkuu wa vipindi Clouds Fm my bro Sebastian Maganga.
Unaweza kuisikiliza CLOUDS FM kupitia 88.5 ukiwa Morogoro, Singida ni 89.8, Mwanza 88.1, Shinyanga 87.5, Arusha 87.9, Moshi 87.9, Tanga 96.0, Dodoma 104.4, Mbeya 87.8, Mtwara 88.4, Pwani 88.4, Mara 98.6, Lindi 89.7, Masasi 88.5, Manyara 104.4, Iringa 92.9, Tabora 88.0, Kigoma 89.3 pia online kupitia cloudsfm.co

No comments: