Sunday, August 18, 2013

PICHA ZA MSANII AKIFANYA UFUSKA NA WANAWAKE TOFAUTI TOFAUTI ZANASWA...!! ZITAZAME HAPA


Mtandao wa  xdjay  umefanikiwa kunasa picha mbalimbali za aibu za msanii chipukizi na mwanamuziki Manaiki Sanga akifanya ufuska wa kutisha na wanawake tofauti tofauti hali inayoonesha ameazimia kujitoa muhanga juu ya gonjwa hatari la ukimwi linalotishia dunia nzima.


Habari za uhakika toka kwa chanzo chetu kilichotushushia shehena za  picha hizo kilisema msanii huyo ambae pia ni anaigiza pamoja na kundi  la Ze Komedi la East Afrika Tv tangu apate jina amekuwa akijihusisha  na vitendo viovu vya unyanyasaji wa kijinsia kwa kuwarubuni mabinti  kupiga nao picha za aibu kwa lengo la kutafuta jina na amekuwa
akitumia kiasi kikubwa cha pesa kufanikisha suala hilo.


Aidha katika hali nyingine msanii huyo aliyetamba sana kwenye filamu  ya Love Position, Tikisa na nyinginezo amekuwa akitumia gari yake  kufanyia ufusika


" Kwa kweli hali ni mbaya ile gari yake ameigeuza kama  gesti ambapo ukiiona gari hiyo imepaki sehemu kwa muda uje kuna  shughuri inafanyika ndani hivyo tunaliomba jeshi la polisi Kanda ya  Dar es  Salaam kulifanyia kazi suala hilo kisha kumtia mikononi huenda  wasichana wa watu wakasalimika jamani" Alisema muhudumu wa baa ya Coco  Beach ambako msanii huyo huwa anapenda kukaa.

Gari ya msanii huyo imekuwa maarufu sana huku nyuma ya gari hiyo  kukiwa na maneno haya " Nina Fanya Mambo" Money is Paper na inadaiwa  msanii huyo ni mtoto wa kigogo mmoja maarufu ambae anamiki hotel  kadhaa hapa mjini ikiwemo Itumbi iliyopo Magomeni.
Picha hizi zinawaonesha mamisi mbalimbali Kama Irine Kanka ambae  alikuwa Miss Temeke namba 2 mwaka juzi. Miss Utalii Fathiya Alfan"  Mrembo wa Facebook" Dida ambae ni mwanamuziki huko Zanziba. na  wengineo.

Hata hivyo watu wamemuonya msanii nyota wa kike nchini
Wastara kutompa nafasi msanii huyo kwani akifanya hivyo atakuja kujuta  kwani imeonekana siku za hivi karibuni amekuwa na ukaribu sana kiasi  cha kwenda nyumbani kupata chakula.


















































No comments: