Wednesday, January 7, 2015

MWANAUME, WAOGOPE WANAWAKE WA NAMNA HII




WAPO wanawake ambao hawastahili kutongozwa au hawafai mwanaume kua na urafii nao hasa ule wa kimapenzi.

Uwezo wa kuwatambua wanawake wa namna hiyo, ndiyo utakutofautisha mwanaume kamili na wanaume washamba wanaoparamia mapenzi.

Wanawake ambao hawafai wana sifa hizi.
1. Watafutaji
Wapo wanawake ambao wanasema kabisa kuwa hawahitaji wanaume lakini ukweli moyoni mwake anataka kuwa na mwanaume. Ukimpata mwanamke wa namna hii kwa kumazimisha utakipata cha moto maana yeye mapenzi kwake amekuwa kama toashi.

2.Bikira.
Mwanamke mwenye bikra kwa wanaume wanaotaka ngono kabla ya ndoa siyo rahisi kumpata na hata ukimpata hautafurahia mambo fulani wasababu hajui mambo mengi ya kumsisimua mwanaume.

3.Asiyeridhika.
Kuna wanawake hata ukienda raundi za kutosha huwa hawafiki kileleni hivyo kwa wanaume wa mwendo mmoja tarajia nyimbo na lawama ama masimango hata ungemfanyia jambo lolote zuri.

4.Mchoyo.
Kufika kwake kileleni ni muhimu kuliko kufika wewe. Hii hutokea zaidi kwa wanawake warembo na wazuri na wanafanya hivyo na kukataa kuendelea na mchezo ambapo wanaume wengi kwa kubabaika kuachwa na wazuri wao hao wanawatii kwa kinyongo.

Akitaka yeye hata kama umechoka siku hiyo lazima anakulazimisha lakini yeye hata kama wewe umetingwa atakuambia hataki na amechoka, pia huuliza maswali na kujijibu mwenyewe...mfano''kwani wewe bado.....mimi tayari''

5.Jamvi la wageni na mchunaji
.......................................................................................

No comments: