Saturday, September 14, 2013

WATEMBEZWA MTAANI WAKIWA UTUPU KAMA WALIVYOZALIWA BAADA YA KUFAMANIWA WAKIVUNJA AMRI YA SITA


Nitukio la kusikitisha sana..kama unavyoona ni mwanaume mwenye mke na watoto akiwa amefumwa akivunja  amri  ya sita  na mwanamke mwenye familia na watoto....
Wananchi  wenye  hasira kali  walipa  kichapo  kikali  ili  liwe fundisho  kwa  wengine hapo  mtaani.....

Hapa wanapelekwa polisi

No comments: