Tuesday, March 4, 2014

WATANI WAFANYA MZAHA KATIKA MSIBA WA MCHEZAJI WA ZAMANI NA MMOJA WA WAANZILISHI WA TIMU YA MAJI MAJI YA SONGE

Watani wa Kiyao wakimfuatisha marehemu alivyokuwa akitembea enzi ya Uhai wake. Mfiwa uruusiwi kufuta huo unga ukifuta tu wanakuja na debe zima wanakumwagia bora uwe mpole. MZEE Abdala Alli alikuwa mmoja wa waanzilishi wa timu ya Majimaji ya Songea wana Lizombe, yeye na wenzake watatu ndiyo walianzisha timu hiyo, Alikuwa mzee Mbegambega, Mzee Mshamu wakiongozwa na Mhe, Laurensi Mtazama Gama hao wote kwa sasa ni marehemu. Mmoja wa watani wa Kabila la Wayao akimpaka unga usoni mtoto wa Kwanza wa kiume Hamisi Abdala Alli, Siyo Igizo ni utani kati ya Wamwela na Wayao. Mfiwa... more »

No comments: