
ALBERT MANGWEA.
RIPOTI KAMILI
TAARIFA Nilizo Pata Kutoka South Africa Kutoka Kwa Hussein Original Ambaye Yupo Pretoria Amesema Ngwear Amefariki Leo Asubuhi.
Alikuwa Ghetto Moja Na Msanii M To The P.
Walivyokwenda Kuwagongea Asu
buhi Walikuta Ngwear
Amefariki Na M To The P Amepoteza Fahamu Kabisa.
Walivyokwenda Kuwagongea Asu
buhi Walikuta Ngwear
Amefariki Na M To The P Amepoteza Fahamu Kabisa.
Pia Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa Watu Wa Karibu Wa Ngwear Huko South Africa.
Ngwea
akiwa na msanii M to the P jana south africa mtu wa karibu anasema
walitakiwa kurudi Dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote
wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi
hospitali.
No comments:
Post a Comment